Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Kwa maneno ya Mwigamba naanza kuamini kuwa hawa jamaa walikuwa wakitumiwa na CCM
Jidanganye tu
Kwa maneno ya Mwigamba naanza kuamini kuwa hawa jamaa walikuwa wakitumiwa na CCM
Mtifuano utakua zaidi 2015 hapo ndipo chama kitakaposambaratika kabisa
Mtifuano utakua zaidi 2015 hapo ndipo chama kitakaposambaratika kabisa
ukiwa mfuasi wa chakavu hata akili inachakaaAliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.
Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.
View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.
Mkuu, hawa CDM nadhani bora wangeachana kabisa na siasa ili wawe kundi la waigizaji washindane na akina Masanja Mkandamizaj au akina Bambo
siku zake zinahesabika, ngoja la zitto likamilike
Dr.Slaa pale kawekwa na Mbowe sasa anajifanya mjanja kumuingiza Josephine kwenye masuala ya chama Mbowe na Mtei hawawezi kukubali hata siku moja.
Mkuu, Dr Slaa uwezo alionao ni wa kupora wake za watu tu. mengine hayajuikwa hyo slaa hana uwezo?
Siamimi kwa sababu nakumbuka Mbowe alipogombea urais, aligombea tuu ili kujifurahisha na kuvuta ule mkwanja wa King maker!. Dr Alipogombea aligombea kiukweli kweli na 2015 japo naujua msimamo wake, sitaki kuamini kuwa Mbowe anataka kujaribu tena mchezo ule ule huku anaelewa fika stutus ya makabila fulani fulani na urais urais wa JMT unless ile siri ya partenity iwekwe wazi ili achagulike! vinginevyo ni kujifurahisha tena!. As of now Chadema haina mtu wa 2015 ila msijekushangaa yule yule jamaa yangu ndio mgombea wao!. Hili mbona lilikuwa simple tuu kwa kumweleza Zitto all the plans ili asiwatibulie na sio kumzushia hadi kumfukuza!.
Pasco
Mkuu, Dr Slaa uwezo alionao ni wa kupora wake za watu tu. mengine hayajui
Aaaaaaghhhhhh ndio najiamkia zangu nakutana na hii habari,hivi ya Kitila na UDSM imeishia wapi au walishajiridhisha kuwa hakuwa kiongozi wa chama? kama alivyodai.mwigamba ni mhaini,anazidi kufanya kazi ya kamati kuu nyepesi,bora mwenzao kitila aliyeamua kukaa kimya.