chadema sio mwisho wa maisha ya watz, wala sio njia pekee ya kushiriki siasa za tzmwigamba ni mhaini,anazidi kufanya kazi ya kamati kuu nyepesi,bora mwenzao kitila aliyeamua kukaa kimya.
Mbaya zaidi Mkuu, ni pale huyu babu anavyozaa watoto akiwa na umri mkubwa. Sijui atawaleajemzee slaa akifukuzwa chadema ataishije jamani wamvumilie tu ili aendelee kupata huo mshahara kuweza kuendesha maisha yake.
mwigamba ni mwanasiasa mwamba ambaye anainyima raha na usingizi ameweka wazi kuwa dr slaa kwa sasa anafanya siasa za kupelekwa pelekwa tu.
Kumbuka chama hivi sasa kimeimarika so kila mtu anayeona anaweza kuongoza nchi anatamani afanikiwe kuingia ikulu. siku zote malengo na mafanikio ya mwanasiasa ni kufika kwenye nafasi ya juu kabisa ya kisiasa ambayo ndio urais.. jiulize kwanini kina lowassa wanautaka urais,kina sumaye, slaa, na wengine wengi.Siamimi kwa sababu nakumbuka Mbowe alipogombea urais, aligombea tuu ili kujifurahisha na kuvuta ule mkwanja wa King maker!. Dr Alipogombea aligombea kiukweli kweli na 2015 japo naujua msimamo wake, sitaki kuamini kuwa Mbowe anataka kujaribu tena mchezo ule ule huku anaelewa fika stutus ya makabila fulani fulani na urais urais wa JMT unless ile siri ya partenity iwekwe wazi ili achagulike! vinginevyo ni kujifurahisha tena!. As of now Chadema haina mtu wa 2015 ila msijekushangaa yule yule jamaa yangu ndio mgombea wao!. Hili mbona lilikuwa simple tuu kwa kumweleza Zitto all the plans ili asiwatibulie na sio kumzushia hadi kumfukuza!.
Pasco
Hadithi za hekaya.Siamimi kwa sababu nakumbuka Mbowe alipogombea urais, aligombea tuu ili kujifurahisha na kuvuta ule mkwanja wa King maker!. Dr Alipogombea aligombea kiukweli kweli na 2015 japo naujua msimamo wake, sitaki kuamini kuwa Mbowe anataka kujaribu tena mchezo ule ule huku anaelewa fika stutus ya makabila fulani fulani na urais urais wa JMT unless ile siri ya partenity iwekwe wazi ili achagulike! vinginevyo ni kujifurahisha tena!. As of now Chadema haina mtu wa 2015 ila msijekushangaa yule yule jamaa yangu ndio mgombea wao!. Hili mbona lilikuwa simple tuu kwa kumweleza Zitto all the plans ili asiwatibulie na sio kumzushia hadi kumfukuza!.
Pasco
hawa jamaa watatifuana mpaka basi wakati tuliousubiri ndiyo huu chama cha kilaghai tulijua mwisho wake ni mbaya slaa ajipange zamu yake yaja.
Mbowe asipokuwa makini mwisho wa siku atabaki yeye na Joyce Mukya tu ndani ya CHADEMA
Siamimi kwa sababu nakumbuka Mbowe alipogombea urais, aligombea tuu ili kujifurahisha na kuvuta ule mkwanja wa King maker!. Dr Alipogombea aligombea kiukweli kweli na 2015 japo naujua msimamo wake, sitaki kuamini kuwa Mbowe anataka kujaribu tena mchezo ule ule huku anaelewa fika stutus ya makabila fulani fulani na urais urais wa JMT unless ile siri ya partenity iwekwe wazi ili achagulike! vinginevyo ni kujifurahisha tena!. As of now Chadema haina mtu wa 2015 ila msijekushangaa yule yule jamaa yangu ndio mgombea wao!. Hili mbona lilikuwa simple tuu kwa kumweleza Zitto all the plans ili asiwatibulie na sio kumzushia hadi kumfukuza!.
Pasco