Mwigamba Achaniwa suruali kwa kudaiwa

Mwigamba Achaniwa suruali kwa kudaiwa

Status
Not open for further replies.
Aliyekuwa katibu Mkuu wa ACT jana alipata aibu ya mwaka kwa kuchaniwa suruali na shati hadharani na kijana anayemdai shilingi milioni moja. Kijana huyu anaitwa Emmanuel Gerard ambaye ni mratibu wa chama hicho Kanda ya Kaskazini.

Source: Tz Daima uk 8

My take: ukisikia kuganga njaa ndio hii, kuanzisha chama hadi kiwe chama si lelemama kama kina Mwigamba walivyodhani

Mijitu mingine sijui kama ikoje mbon gazeti la Raia Tanzania wameeleza kitu tofauti na kinachoelezwa kuwa kimeandikwa Tanzania Daima?


attachment.php
 

Attachments

  • Raia Tanzania.jpg
    Raia Tanzania.jpg
    111.7 KB · Views: 808
Angemvunja hata meno ACT ni kikundi cha wahuni
 
siasa za chadema za kijinga sana mnakodi vijana toka Arusha kwenda kumfanyia fujo mwingamba ili iweje ni siasa za kipuuzi sana atayashinda yote haya sijui mtajificha wapi.
gsu mimi sitetei ujinga hata siku moja, mwizi kama ni cdm nitatamka wazi ni mwizi, lakini wewe umekuwa na macho lakini huoni una masikio lakini husikii eti kisa ni mapenzi ya dhati kwa chama tawala. Ni lin cdm kikapoteza muda na act? Lini umewahi kusikia ndani ya act kuna mamluki toka cdm? Kwakifupi kinachotokea leo kwa Mwigamba na wenzake ujue wazi ndio siasa ndani ya vyama zilivo, usiione cdm hapo ilipofika imepita vikwazo vingi kiasi kwamba magamba wanachanganyikiwa.!!
 
Mambo sio shuari katika chama kipya cha act baada katibu mkuu wa chama hicho kukwidwa shati nakati mwigamba.png mwigamba2.png mwigamba3.png
 
chama kime laaniwa sababu ya usaliti.Afadhali wanajikaanga wenyewe na wasirudi chadema
 
mmeacha kumwagia sumu sasa mnapiga watu yote yatawashinda tu watu wa shetani katu hamtaweza kushinda watu wa mungu.

Intelijensia imefikia wapi ya kuwafichua hao wamwaga sumu na kuwafikisha mbele ya Pirato na sheria kuchukua mkondo wake, au ni maneno ya uzushi tu!!
 
Mwigamba anaelekea shimoni huyo.yeye msomi gani anashindwa kutafsili iv hapa tz kuna vyama vilivyo sajiliwa vingi mno toka muda mrefu na hivyo vyama havina nguvu hata kidogo vinaongeza uwingi wa vyama tu hapa nchini,namshauri msajili vifute vyama ambavyo havionyeshi kukuwa miaka ikiendelea.ktk hali hii namshangaa mwigamba et yy msomi anaanzisha chama kingine kipya lengo lake haeleweki kabisa hawa ni wavulugaji misimamo ya wapinzani tu,nawashauri watu wenye akili timamu muwamulike na kuwakataa kabisa hawa wakina mwigamba na genge lao la wahuni et ilo genge wamelipa jina linaitwa Act wasomi wazembe hawa
 
siasa za chadema za kijinga sana mnakodi vijana toka Arusha kwenda kumfanyia fujo mwingamba ili iweje ni siasa za kipuuzi sana atayashinda yote haya sijui mtajificha wapi.

Kwa hiyo Chadema ndio waliomtuma Mwigamba akakope, halafu ashindwe kulipa deni? Mbona unachanganya njaa binafsi za mtu na taasisi? Hilo ni deni lake wala msisingizie chama. Na dawa ya deni ni kulipa tu sio kukwepa kwepa, kwani matokeo yake ndio kudhalilishwa kama hivyo.
Ova
 
Aliyekuwa katibu Mkuu wa ACT jana alipata aibu ya mwaka kwa kuchaniwa suruali na shati hadharani na kijana anayemdai shilingi milioni moja. Kijana huyu anaitwa Emmanuel Gerard ambaye ni mratibu wa chama hicho Kanda ya Kaskazini.

Source: Tz Daima uk 8

My take: ukisikia kuganga njaa ndio hii, kuanzisha chama hadi kiwe chama si lelemama kama kina Mwigamba walivyodhani
Chama cha vurugu
 
Mwigamba na kiongozi mmoja wapo wamekunjana na kurushiana makonde ktk ofisi za msajiri
Kisa ni tuhuma dhidi ya mwigamba juu ya ubadhirifu na usariti

Source Magazeti ya Leo

= msajili
= usaliti

Hivi wewe ni Mtanzania kweli? na Kiswahili ni lugha yako ya Taifa?

Au shule ulienda kusomea ujinga?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom