Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
Naona Ccm mnatetea Mchepuko wenuSoma vizuri kwenye gazeti ametoka arusha kwa ndege juzi na jana ndiyo kafanya alichofanya kwanza tiketi ya ndege shilingi ngapi halafu unadai one milioni hiyo akili matope.