Mwigamba Achaniwa suruali kwa kudaiwa

Mwigamba Achaniwa suruali kwa kudaiwa

Status
Not open for further replies.
mmeacha kumwagia sumu sasa mnapiga watu yote yatawashinda tu watu wa shetani katu hamtaweza kushinda watu wa mungu.

Waambie hao Chadema wawache we na mumeo Mwigamba mpumue...

Hawa CDM hawanahuruma kabisa
 
Soma vizuri kwenye gazeti ametoka arusha kwa ndege juzi na jana ndiyo kafanya alichofanya kwanza tiketi ya ndege shilingi ngapi halafu unadai one milioni hiyo akili matope.

kwani fast jet Arusha hazifiki?
 
naona wazomeaji ni wengi. nashauli tumfanyie arambee huyu ni ndugu yetu ktk siasa
 
Aliyekuwa katibu Mkuu wa ACT jana alipata aibu ya mwaka kwa kuchaniwa suruali na shati hadharani na kijana anayemdai shilingi milioni moja. Kijana huyu anaitwa Emmanuel Gerard ambaye ni mratibu wa chama hicho Kanda ya Kaskazini.

Source: Tz Daima uk 8

My take: ukisikia kuganga njaa ndio hii, kuanzisha chama hadi kiwe chama si lelemama kama kina Mwigamba walivyodhani

Hizo ni siasa tu,Mwigamba mhuni tu.
 
Wanajamvi tujadili ki u-great thinker baada ya kuiona hii picha ImageUploadedByJamiiForums1421746452.752021.jpg
 
Aliyekuwa katibu Mkuu wa ACT jana alipata aibu ya mwaka kwa kuchaniwa suruali na shati hadharani na kijana anayemdai shilingi milioni moja. Kijana huyu anaitwa Emmanuel Gerard ambaye ni mratibu wa chama hicho Kanda ya Kaskazini.

Source: Tz Daima uk 8

My take: ukisikia kuganga njaa ndio hii, kuanzisha chama hadi kiwe chama si lelemama kama kina Mwigamba walivyodhani

Kumbe chanzo ni Tanzania Daima, sawa asante kwa taarifa.
 
Mkuu wa kikosi cha wasaliti SAMSONI MWIGAMBA ametelekezwa na wenzake kisa Madeni waliyokopa kuendeshea kamati kuu.

Kwa mujibu wa chanzo chetu nikuwa wenzake walimtelekeza baada ya kugundua kuwa pesa iliyokopwa kwaajili ya kuendeshea vikao vya kamatikuu havilingani na mrejesho wa matumizi yake hivyo wakaamua kumsusia kulipa deni hilo.

Samsoni alianza kumzungusha tajiri huyo kwa maneno ya ulaghai, baada ya tajiri huyo kumfatilia bila mafanikio ndipo alipopata taarifa kuwa jamaa hana pesa na wenzake wamemsusia deni hilo kutokana na sababu nilizozieleza hapo juu.

NA SIKU ZA --------- NI AROBAINI JAMAA KADAKWA NA KUSAIDIWA MAUMIVU.


Mwalimu kaijage tunakuomba hapa.
 

Attachments

  • 10848784_10152673142087404_8112791637474525647_o.jpg
    10848784_10152673142087404_8112791637474525647_o.jpg
    156.8 KB · Views: 218
Mwigamba na kiongozi mmoja wapo wamekunjana na kurushiana makonde ktk ofisi za msajiri
Kisa ni tuhuma dhidi ya mwigamba juu ya ubadhirifu na usariti

Source Magazeti ya Leo
Mkuu unafahamu maana ya kukunjana?samson kakunjwa.!!
 
Aliyekuwa katibu Mkuu wa ACT jana alipata aibu ya mwaka kwa kuchaniwa suruali na shati hadharani na kijana anayemdai shilingi milioni moja. Kijana huyu anaitwa Emmanuel Gerard ambaye ni mratibu wa chama hicho Kanda ya Kaskazini.

Source: Tz Daima uk 8

My take: ukisikia kuganga njaa ndio hii, kuanzisha chama hadi kiwe chama si lelemama kama kina Mwigamba walivyodhani

Ningejua hii taarifa imetoka Tanzania Daima............
 
Kwani suluwali hiyo ina dhamani ya million moja??????
Aliyekuwa katibu Mkuu wa ACT jana alipata aibu ya mwaka kwa kuchaniwa suruali na shati hadharani na kijana anayemdai shilingi milioni moja. Kijana huyu anaitwa Emmanuel Gerard ambaye ni mratibu wa chama hicho Kanda ya Kaskazini.

Source: Tz Daima uk 8

My take: ukisikia kuganga njaa ndio hii, kuanzisha chama hadi kiwe chama si lelemama kama kina Mwigamba walivyodhani
 
Dah huyo aliekunjwa hapo ndie Samson Mwigamba? Ina maana jamaa kina Zitto, Kitila wameshindwa kupitisha bakuli watu wachangie hiyo 1m wamlipe jamaa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom