Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,906
- 28,073
mmeacha kumwagia sumu sasa mnapiga watu yote yatawashinda tu watu wa shetani katu hamtaweza kushinda watu wa mungu.
Waambie hao Chadema wawache we na mumeo Mwigamba mpumue...
Hawa CDM hawanahuruma kabisa