Mwigamba Achaniwa suruali kwa kudaiwa

Mwigamba Achaniwa suruali kwa kudaiwa

Status
Not open for further replies.

ibange

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2010
Posts
1,543
Reaction score
553
Aliyekuwa katibu Mkuu wa ACT jana alipata aibu ya mwaka kwa kuchaniwa suruali na shati hadharani na kijana anayemdai shilingi milioni moja. Kijana huyu anaitwa Emmanuel Gerard ambaye ni mratibu wa chama hicho Kanda ya Kaskazini.

Source: Tz Daima uk 8

My take: ukisikia kuganga njaa ndio hii, kuanzisha chama hadi kiwe chama si lelemama kama kina Mwigamba walivyodhani
 
siasa za chadema za kijinga sana mnakodi vijana toka Arusha kwenda kumfanyia fujo mwingamba ili iweje ni siasa za kipuuzi sana atayashinda yote haya sijui mtajificha wapi.
 
siasa za chadema za kijinga sana mnakodi vijana toka Arusha kwenda kumfanyia fujo mwingamba ili iweje ni siasa za kipuuzi sana atayashinda yote haya sijui mtajificha wapi.
Madai hayana msingi. Chadema ndio alimkopesha fedha? Kila kitu mtasingizia chadema mtu anadaiwa badala ya kulipa fedha za watu unamsingizia chadema
 
Mwigamba na kiongozi mmoja wapo wamekunjana na kurushiana makonde ktk ofisi za msajiri
Kisa ni tuhuma dhidi ya mwigamba juu ya ubadhirifu na usariti

Source Magazeti ya Leo
 
siasa za chadema za kijinga sana mnakodi vijana toka Arusha kwenda kumfanyia fujo mwingamba ili iweje ni siasa za kipuuzi sana atayashinda yote haya sijui mtajificha wapi.


Acha uzushi ww huyo si mwanachama wake was ACT?au kisa katoka Kaskazini?dawa ya deni ni kulipa.
 
Aliyekuwa katibu Mkuu wa ACT jana alipata aibu ya mwaka kwa kuchaniwa suruali na shati hadharani na kijana anayemdai shilingi milioni moja. Kijana huyu anaitwa Emmanuel Gerard ambaye ni mratibu wa chama hicho Kanda ya Kaskazini.

Source: Tz Daima uk 8

My take: ukisikia kuganga njaa ndio hii, kuanzisha chama hadi kiwe chama si lelemama kama kina Mwigamba walivyodhani
Ingekuwa vizuri wangemchania Chupi.
 
Aliyekuwa katibu Mkuu wa ACT jana alipata aibu ya mwaka kwa kuchaniwa suruali na shati hadharani na kijana anayemdai shilingi milioni moja. Kijana huyu anaitwa Emmanuel Gerard ambaye ni mratibu wa chama hicho Kanda ya Kaskazini.

Source: Tz Daima uk 8

My take: ukisikia kuganga njaa ndio hii, kuanzisha chama hadi kiwe chama si lelemama kama kina Mwigamba walivyodhani

waache wafu wazikane wenyewe kwa wenyewe.
 
Wanamtuhumu kua anavuta mshiko mwingi sana kutoka CCM lakini nyingi ya hizo anachikichia Yeye ndio maana Chama kinakufa!!
 
siasa za chadema za kijinga sana mnakodi vijana toka Arusha kwenda kumfanyia fujo mwingamba ili iweje ni siasa za kipuuzi sana atayashinda yote haya sijui mtajificha wapi.
Tanua ubongo kabla ujapanua mdomo
 

Attachments

  • IMG-20150121-WA0024.jpg
    IMG-20150121-WA0024.jpg
    160.3 KB · Views: 1,501
Madai hayana msingi. Chadema ndio alimkopesha fedha? Kila kitu mtasingizia chadema mtu anadaiwa badala ya kulipa fedha za watu unamsingizia chadema

Hakuna deni hapo ni uhuni mtupu watu tunajua bana kwani ameshindwa kumdai sehemu zote mpaka akamdai ofisini kwa msajili,sote tunajua kuwa yule kijana katoka arusha kwa kazi moja tu ya kuja kufanya fujo kwa mwigamba ili mwigamba ahamaki ashindwe kuendesha chama chadema mlianza na shetani mtamaliza na shetani.
 
Acha uzushi ww huyo si mwanachama wake was ACT?au kisa katoka Kaskazini?dawa ya deni ni kulipa.
Soma vizuri kwenye gazeti ametoka arusha kwa ndege juzi na jana ndiyo kafanya alichofanya kwanza tiketi ya ndege shilingi ngapi halafu unadai one milioni hiyo akili matope.
 
Hakuna deni hapo ni uhuni mtupu watu tunajua bana kwani ameshindwa kumdai sehemu zote mpaka akamdai ofisini kwa msajili,sote tunajua kuwa yule kijana katoka arusha kwa kazi moja tu ya kuja kufanya fujo kwa mwigamba ili mwigamba ahamaki ashindwe kuendesha chama chadema mlianza na shetani mtamaliza na shetani.

...mkuu achana nao hao BAVICHA. Hawajui kuwa wewe ndo mke mdogo wa Mwigamba.
 
mmeacha kumwagia sumu sasa mnapiga watu yote yatawashinda tu watu wa shetani katu hamtaweza kushinda watu wa mungu.

Naona mnazidi kupata hasiri mkizingatia ile mbinu yenu yakuwatumia kusaliti chadema kushtukiwa nakufukuzwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom