mkata-mkaa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 296
- 181
- Thread starter
- #21
Sio kwel mkuuMlishaambiwa ajira ni mpaka mwakani 2017 April, wewe ulikuwa wapi kusikia.
Sio kwel mkuuMlishaambiwa ajira ni mpaka mwakani 2017 April, wewe ulikuwa wapi kusikia.
serikali ya wanyonge...Serikali mlisema mtamwaga ajira 52,000 mwezi huu wa saba mwa vijana walio mtaani, lakini naona kama kimya. Na vipi kuhusi mishahara mipya wadau, kuna anyejua imeongezwa asilimia ngapi?
Aisee na kwel shikamoo watoto wa masikini tutaendelea kusota tu.Suala la ajira kwa tz yetu ni ndoto za alinacha, kwa walimu tuliosomea sanaa pamoja na wale wa certificate nadhan ni kama ndo jua linazama hivi kwa hiyo kilichobaki ni kuangalia uelekeo mwingine tu, hapo hakuna namna coz maji ni kama vile yasha mwagika kuyamwagua ni kazi bure sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Shikamoo serikali ya ma... Natumaini uu mZima
Shukran mkuuPoleni sana
Hatuna namna tulidanganywa tukakubali kudanganyika mambo ndo hivyo kama ni ngalawa basi ndo kwaanza kinaanza kwenda komboAisee na kwel shikamoo watoto wa masikini tutaendelea kusota tu.
Wacha kupanikiww unaumwa mavi ww ajira uzioni TRa wametangaza ajira zaidi ya 300
PoaShukran mkuu
Sana mkuuDaah hali ni ngumu mtaani
Kwa hiyo daktari, Mwalimu, Afisa mifugo etc waka-apply kwenye hizo Ajira za TRA!?400 za TRA tayari, tembeleen utumishi secretariat ya ajira
Tuzihesabu basi kama zinafika 52000...na huu Si Ndo mwez Wa 8unazani zitatoka kwa pamoja 50000s... kuna utarajibu na ndio huu mwezi wa saba na wameanza na ajira hizo wakimaliza wataleta zingine.... na kwa wale wafatiliaji wa mtandao wa ajira, huwa wanatoa ajira zingine pale deadline ikifika au kukaribia ya ajira zilizopo na muda mwingine wakisha ita watu katika interview ndipo wanatoa ajira zingine au kukiwa na venue tofauti za kufanyia interview hapa huwa wanaita zaidi au kutangaza ajira zaidi...
ndg. tusiwe na asila ila tuvumilie wakuu...
Kweli mkuu, sema hizo za waalimu sasa ni balaa, 92 tu, tena sayansiMBONA WAMETANGAZA NYINGI TU NA ZINAENDELEA KUJA KIBAO WALIANZA TRA,WIZARA YA AFYA,ALMASHAURI,SASA WALIMU NA WATAENDELEA SECTOR ZINGINE MSIWE KAMA MAZWAZWA MSIOFUATILIA...
USIHOFU NDUGU YANGU ZINAKUJA NYINGI MARK MY WORDSKweli mkuu, sema hizo za waalimu sasa ni balaa, 92 tu, tena sayansi
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kwa faraja mkuu, tumesota sana kitaa acha tu.USIHOFU NDUGU YANGU ZINAKUJA NYINGI MARK MY WORDS
kitaa kunatisha,....mimi nipo kijijini nalima mkuu