mkata-mkaa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 296
- 181
Serikali mlisema mtamwaga ajira 52,000 mwezi huu wa saba mwa vijana walio mtaani, lakini naona kama kimya. Na vipi kuhusi mishahara mipya wadau, kuna anyejua imeongezwa asilimia ngapi?
Mm sujui labda ww unajuaDuh
Haujui pa kwenda kuuliza!?
Umeandika kama kiudaku hivi, kuwa unatamani iwe hivyo... ka vile hata labda ungeitwa kwenye interview ungepata kazi kama hizo.
Tumechokaaaaawanahakiki tena
Poleni sanaSuala la ajira kwa tz yetu ni ndoto za alinacha, kwa walimu tuliosomea sanaa pamoja na wale wa certificate nadhan ni kama ndo jua linazama hivi kwa hiyo kilichobaki ni kuangalia uelekeo mwingine tu, hapo hakuna namna coz maji ni kama vile yasha mwagika kuyamwagua ni kazi bure sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Shikamoo serikali ya ma... Natumaini uu mZima
Yaani ccm kila kitu kupinga tu,sijui akili zenu zipo kwenye kinyelo kama keneth kinyelo
Uchochezi huo ☝☝☝mkuuSerikali mlisema mtamwaga ajira 52,000 mwezi huu wa saba mwa vijana walio mtaani, lakini naona kama kimya. Na vipi kuhusi mishahara mipya wadau, kuna anyejua imeongezwa asilimia ngapi?
Mlishaambiwa ajira ni mpaka mwakani 2017 April, wewe ulikuwa wapi kusikia.Serikali mlisema mtamwaga ajira 52,000 mwezi huu wa saba mwa vijana walio mtaani, lakini naona kama kimya. Na vipi kuhusi mishahara mipya wadau, kuna anyejua imeongezwa asilimia ngapi?