Mwezi Unaogopa Giza la TZ..

Mwezi Unaogopa Giza la TZ..

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,945
Reaction score
23,891
Jaman kama kuna mahala umeonekana tujuzeni.... Kesho mapumziko au? sijielewi elewi..........
 
Ucjal mi nahic utaonekana uko libya...! Lkn mbona mnaharaka hivyo wanajf? Mmeandaa nini?
 
Radio Imaan ya Mkoan Morogoro imetangaza kuwa mwezi umeonekana Mtwara. Kuna rafiki yangu yupo Arusha yeye ni answar sunna amenipgia simu kuwa wao kesho wanaswal, mwez umeonekana Malysia. Kwa sisi wa BAKWATA kesho tunamalzia.
 
Radio Imaan ya Mkoan Morogoro imetangaza kuwa mwezi umeonekana Mtwara. Kuna rafiki yangu yupo Arusha yeye ni answar sunna amenipgia simu kuwa wao kesho wanaswal, mwez umeonekana Malysia. Kwa sisi wa BAKWATA kesho tunamalzia.
Nazidi kupata mashaka na dini ya ALLAH.
 
kesho lazima IDD.. hata ukigoma.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kesho ubwabwa.
<br />
<br />

PILAU hiilooo.. Mabinzari..ma karafuu..mahoho..makuku kukuu..ma wine... Af ni END OF THE MOON...dah.. Furuu
 
Back
Top Bottom