Chai jabaHabarini wana jamvi. ..
Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha anacomment ba mdogo umependeza!Basi siku moja nikamchek inbox akajitambulisha yeye anamuita wife shangazi! Nikaja kumdodosa wife kiaina akakubali kwamba ni ndugu kabisa.
Siku zimeenda hivyo siku moja nikamuuliza lini kututembelea hapa kwetu uje umpe hi shangazi yako?AKAJIBU hawezi kufika hapa nyumbani .Nikamuuliza sasa mimi nitakufamu vp AKAJIBU kama nipo tayari nitafute sehemu nyingine ya kukutania ila hayupo tayari kuja nyumbani maana wife alishawahi kumtenda miaka kadhaa kabla hawajaolewa!
Katika kumdodosa akasema ilitokea wife akatembea na jamaa yake mmoja KITENDO ambacho kilimuumiza sana.Basi kumbe wakati tunachat tayari alikuwa kishapanga ratiba ya kuja kijijini kwao kuhani.Nikaandaa mazingira ya kutoka tukawa tumekutana lodge fulani hivi.Usiku ule nilimfanya sana na wakati natafuta bao la nne mmewe akapiga simu ila akaishia kupigwa fix tu.
Mwisho yule mwanamke akasema isingetokea kutembea na mimi ila kitendo cha wife kuliwa na jamaa yake kilimuumiza sana!Ila sasa kinachonishangaza anapocomnent picha za wife facebook anamuonyesha heshima zote!
Wanawake waacheni tu akili zao wanazijua wao
Kumbuka huyu nae katembea na mume wamtu nae ajiandae kutombewa again fala sanaInatufundisha kuwa unachokipanda leo ndicho utakachokivuna siku zijazo.
Ukipanda mema utavuna mema, ukipanda ubaya utakuja kuvuna ubaya. Kwahiyo ngoma droo
Kaka sijatunga story ni tukio la kweli sema nimeficha vitu vingiHii riwaya yako inatufundisha nini kwenye mwezi huu mtukufu?
Nilitumia mpiraMlipima lakini au ulitembea naye ukijua yuko salama?maana inawezekana anajijua kuwa kaathirika kwahiyo lengo ni kukupakaza wewe akijua na mke naye ataathirika ili amuadhibu,be careful mkuu zinaa haijawahi kumuacha mtu salama...
Why unatusimulia??
Unampenda mkeo kweli.. kwanini uchepuke kutimiza revenge juu yake??Habarini wana jamvi. ..
Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha anacomment ba mdogo umependeza!Basi siku moja nikamchek inbox akajitambulisha yeye anamuita wife shangazi! Nikaja kumdodosa wife kiaina akakubali kwamba ni ndugu kabisa.
Siku zimeenda hivyo siku moja nikamuuliza lini kututembelea hapa kwetu uje umpe hi shangazi yako?AKAJIBU hawezi kufika hapa nyumbani .Nikamuuliza sasa mimi nitakufamu vp AKAJIBU kama nipo tayari nitafute sehemu nyingine ya kukutania ila hayupo tayari kuja nyumbani maana wife alishawahi kumtenda miaka kadhaa kabla hawajaolewa!
Katika kumdodosa akasema ilitokea wife akatembea na jamaa yake mmoja KITENDO ambacho kilimuumiza sana.Basi kumbe wakati tunachat tayari alikuwa kishapanga ratiba ya kuja kijijini kwao kuhani.Nikaandaa mazingira ya kutoka tukawa tumekutana lodge fulani hivi.Usiku ule nilimfanya sana na wakati natafuta bao la nne mmewe akapiga simu ila akaishia kupigwa fix tu.
Mwisho yule mwanamke akasema isingetokea kutembea na mimi ila kitendo cha wife kuliwa na jamaa yake kilimuumiza sana!Ila sasa kinachonishangaza anapocomnent picha za wife facebook anamuonyesha heshima zote!
Wanawake waacheni tu akili zao wanazijua wao
Ooohhh umekanyaga waya....Kumfanya kamaanisha kumtomba au?