habar wana JF ni masikitiko tena katka cku iliyotarajiwa kuwa ya furaha kwa wana UDOM kutokana na mahafali lakini jana ucku {ijumaa} majra ya saa 3 ucku, mwenzetu 1 amefariki kwa kupgwa na radi na wengne kadhaa kujeruhiwa. Mungu atupe nguvu katka wakati huu mgumu na Mungu ailaze roho ya marehemu mahali panapostahili...