Mwenzenu nimeyatimba

Nyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.

Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.

View attachment 2897819

Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Usisahau kuzingatia kunywa km ilivyoandikaa moja mara mbili na moja mara tatu unywe na maji kwa wingi utapona ukishapona nenda tena ukaingie kavukavu
 
Nahitaji nimpelekee na yeye, so nimchukuliea hiyo Nitrofurantoin na dawa gani nyingine?
Hapana yeye hawezi kupona kwa hizo dawa,

Note : maumbile ni tofauti, labda yeye kama atakuwa ana-discharge na itching sehemu za siri..


Na suggest
. Cefixime 400mg 1 * 1 * 1 /7
. Secnidazole 2 * 1 *1/7
. Azithromycin 1g start
. Clotimazole V. Pessaries insert 1 tab OD for 6/7 days

Kama atakuwa anawashwa ikulu utampa na gel ya kupaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom