Kuvaa Kinga ndo hivyo utamu kwa mbaali, kavu napo ndo hivyo madhara yakeOnyo! Usipime mtu kwa macho walionona na wenye muonekano ndio wameoza.
😳😳😳🏃🏃Ferooz - starehe
Huruma basiSafi sana mkuu ndo ukubwa huo
Kama una ujasiri nenda kapime kubwa, hilo linataka ujasiri sana.Kweli kabsa mkuu, nimeanza kuamini. Hapa sina amani kabsa
Nisubiri muda gani kupima kubwa? Sababu leo ni siku ya nne tu.Kama una ujasiri nenda kapime kubwa, hilo linataka ujasiri sana.
Kuvaa Kinga ndo hivyo utamu kwa mbaali, kavu napo ndo hivyo madhara yake
Usisahau kuzingatia kunywa km ilivyoandikaa moja mara mbili na moja mara tatu unywe na maji kwa wingi utapona ukishapona nenda tena ukaingie kavukavuNyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
View attachment 2897819
Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Hapana yeye hawezi kupona kwa hizo dawa,Nahitaji nimpelekee na yeye, so nimchukuliea hiyo Nitrofurantoin na dawa gani nyingine?
Gonooooooooooo😭😭 Duh sijui Gono
GenyeeeeeeeeeeeeeHivi mtu mwenye akili timamu na mwenye malengo yako ya maisha unawezaje risk afya yako kiasi hicho?
Nahitaji nimpelekee na yeye, so nimchukuliea hiyo Nitrofurantoin na dawa gani nyingine?
Sawa mkuu ila sitoingia tena kavu kavu.Usisahau kuzingatia kunywa km ilivyoandikaa moja mara mbili na moja mara tatu unywe na maji kwa wingi utapona ukishapona nenda tena ukaingie kavukavu
Eeh nampelekea tu kumtibu. 😊😊 Ili asiendelee kuambukiza wengine.Ohoo!!!😂😂 Wee jamaa si umesema hauweki tena kambi kwake??
😂😂😂 Mkuu na wewe unakojoa kwa maumivu? Pole sana. Kachukue hiyo dose.Hahaaa tupo wengi kumbe, bora wew na binti mpya... Mimi na binti nimemzalisha na bado ana mtoto mdogo... Nashindwa hata nifanyeje sijalala siku 3 mzee