Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
RIP bibi na pole mkuu!
ha,ha,ha,teh,teh....unamambo wewe!hapo umefunga je ungekua hujafunga?japo huwa unasema dar hakuna kufunga
Bachelor Of Religion in Satanic Verses?
Hongera mwaego!
hakuna shida kabisa tutakwenda beb!
Huyu amezoea kufumaniwa alaf ana samehewa.
Ngoja nimkate ndio atashika adabu!
Au tumwambie st paka mweusi amuombee atokwe n hili pepo
Tena nakuomba utafute ile suti kijambakoti,
na mchongoko chini ili Ruhazwe JR aone kuwa yeye alikisema cha nini.
Kiongozi eti msiba wapi? Madame B ananizengua tu hapa.
Kwanza kabla ya kwenda mbali zaidi naomba nikuulize swali.
Kama unaamini ktk Ufufuo na vipi kuhusu nchi mpya?
Napenda kukutoa wasiwasi mkuu.
Unajua sisi wanadamu tumezoea kukariri vitu.
Najua hapo ukiulizwa ni nini matumizi ya mwiko utajibu ni kupikia wakati umesahau kuwa mwiko huohuo waweza tumika kama kuni.
Ndivyo navyo wewe ulivyokariri kuwa kuna Ufufuo.
Bwana Yesu alimwambia Thoma "niguse ili usadiki kama ni mimi"
nae Thoma aligusa na kusadiki.
Je, wewe ni yupi uliemsadiki kwa kukuonesha Ufufuo?
Na umesema ukiishi miaka 20 then ukafa leo,ukazikwa kesho na kesho kutwa ukafufuliwa wapi patakuwa nyumba ya milele?
Naomba nikuulize swali dogo tu.
Utajisikiaje pale mgeni ajapo nyumbani kwako na kukwambia "Dudu nakuona umejiachia ktk nyumba yako ya milele" wewe ungemjibu vipi?
Kuhusu siku wala saa,wamesema hvo ili wewe mwanadamu upate muda wa kutubu na kusali na si Ufufuo na Uzima.
Maana wanasema "Kesheni ndugu zangu,maana hamjui siku wala saa ya kuja Yesu/Mussa"
Nimeeleweka?
Au niendelee?
pole sana
Nashukuru kwa taarifa mkuu, na pole sana kwa msiba. Hebu kisome hiki kmbaumbau Madame B kinavyompotosha babu hapa chini. Nlikuwa nshafika Africana, ngoja nigeuze zangu nikakazie swaumu maeneo ya Sinza.msiba huko mkoan kagera
Unavyouliza utadhani utatia mguu wako.
Nimekwambia uko Kunduchi-Mtongani.
Usije na shuka,matanga hakuna,
wala usije na ndizi hakuna ubwabwa, ni full uji na tende kama kawa.
Nashukuru kwa taarifa mkuu, na pole sana kwa msiba. Hebu kisome hiki kmbaumbau Madame B kinavyompotosha babu hapa chini. Nlikuwa nshafika Africana, ngoja nigeuze zangu nikakazie swaumu maeneo ya Sinza.