Uda
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 811
- 623
Mzinga wa nyuki ni hatari sana!
Miezi minne iliyopita nilichokonoa mzinga wa nyuki,kilichotokea ni nyuki mmoja dume aliyeshiba akanidunga mwiba wake halafu akatema sumu ..kilichotokea ni maumivu kiasi na uvimbe ambao unakua taratibu.nimeuliza kwa wataalamu wameniambia uvimbe utaendelea kukua mpaka wiki 40,waswahili wanasema miezi tisa!
Napata kichefuchefu hasa wakati wa asubuhi,
chonde chonde,mwenzenu nimekoma kuchezea mzinga wa nyuki!
Miezi minne iliyopita nilichokonoa mzinga wa nyuki,kilichotokea ni nyuki mmoja dume aliyeshiba akanidunga mwiba wake halafu akatema sumu ..kilichotokea ni maumivu kiasi na uvimbe ambao unakua taratibu.nimeuliza kwa wataalamu wameniambia uvimbe utaendelea kukua mpaka wiki 40,waswahili wanasema miezi tisa!
Napata kichefuchefu hasa wakati wa asubuhi,
chonde chonde,mwenzenu nimekoma kuchezea mzinga wa nyuki!