Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Tatizo lako King'asti unaangalizia hadi sehemu ya fungate, sikwambii sehemu nyingine nloivumbua.
Aah ngoja niseme tu, mateka ananipeleka Papua New Guinea.
Usiniige tena.
Aah ngoja niseme tu, mateka ananipeleka Papua New Guinea.
Usiniige tena.
Mie ndo huniogopi eeh? Yaani safari yangu ya kupelekwa fungate la ukubwani madagascar isipofanyika na wakati hadi mbwa tumemkatia ticket, wallah nakuotesha mkia kama wa farasi! Hiyo attention utaipata manake ukipita kila mtu atakuangalia!
Last edited by a moderator: