Mwenzenu hii mimba.......!

Mwenzenu hii mimba.......!

hapo nimekusoma

hivi da sophy, sasa inakuwaje jamaa akitaka kwenda kwa mkewe wa makaratasi? (wa ndoa) unampa muda au inakuwaje?

kabla ya hii mimba sawa nilikuwa namhimiza aende, lakini sasa hivi loh! Namhitaji mwenzangu akae hapa kuna damu yake humu ati. Hao wa kule keshakaa nao sana na tena hawana shida kwanza wana mama msomi. Halafu nina hakika yule mwenzangu hanionei huruma kwa lolote, sasa miye nikamwonee huruma kwa kisa gani? Kama kufaidi alishafaidi sana, kama hakufaidi sikumkwaza miye, sasa zamu yangu hii lazima niitumie vilivyo
 
Akikosa wa kumwoa afanyaje Fab??? Surely she can't 'fast' forever..

hivi kuna wanaokosa wa kuwaowa?.wanaume mbona wapo kibao?.kama amekosa wa kumuoa means,she wasnt meant kuolewa.na sio kwenda haribu 'nyumba za watu ndio solusheni.hao ndio wanafanya watoto wengine wanakua ktk mazingira magumu ilhali wazazi walikuwa na uwezo mzuri tu wa kuwalea ktk mazingira mazuri kichumi,kisaikolojia nk
 
mnh wakina da sophy wote washindwe.ndio nyie mnasambaratisha familia za watu,afu mnaona ni ufahari.muone na majibu yake utajua ni mjeuri.sio ujanja kubomoa familia ya mtu.wanaume wapo kibao kama unataka mtoto kwa nini usijilengeshe kwa hao wako single?
Ushindwe wewe na roho yako ya korosho. Familia haijabomoka imeongezeka. Ati nikajilengeshe, nani kakuambia wanawake huwa tunajilengesha kihivyo, kajilengeshe basi wewe kama unaona dili. Mapenzi hayajui cha single au sijui kitu gani uelewe hivyo.
 
Ushindwe wewe na roho yako ya korosho. Familia haijabomoka imeongezeka. Ati nikajilengeshe, nani kakuambia wanawake huwa tunajilengesha kihivyo, kajilengeshe basi wewe kama unaona dili. Mapenzi hayajui cha single au sijui kitu gani uelewe hivyo.

hasa mie na wewe unayetaka kubomoa nyumba ya mtu nani mwenye roho ya korosho??wajifanya hujui kujilengesha nyooooooooooo huna haya wala hujui vibaya,hio mimba hukujilengesha wewe ili umchukue mume wa mwenzio??? msonyoooo, yes mapenzi yanajua boundaries!!!mbona hukubeba mimba ya baba yako kama huna mipaka??mxiiii!
 
hivi kuna wanaokosa wa kuwaowa?.wanaume mbona wapo kibao?.kama amekosa wa kumuoa means,she wasnt meant kuolewa.na sio kwenda haribu 'nyumba za watu ndio solusheni.hao ndio wanafanya watoto wengine wanakua ktk mazingira magumu ilhali wazazi walikuwa na uwezo mzuri tu wa kuwalea ktk mazingira mazuri kichumi,kisaikolojia nk
Wewe kama unaona wanaume wako kibao nenda kajilengeshe kwao kama unavyodai. Au unafikiri mwanaume yeyote tu basi anafaa alimradi umemwona amevaa suruali? Lazima kwanza penzi liwepo. Ati kuharibu nyumba za watu, nani kakwambia imeharibika. Nyumba yake ipo na ameongezewa ya pili, faida juu ya faida. Wewe hupendi faida? Na kwa taarifa yako sichukui hata sentano yake nina biashara zangu za uhakika, na sasa hivi zinajiendesha zenyewe hata nisipoenda ofisini mwezi mzima. Sili cha mtu, na mwanangu nitalea mwenyewe. lakini sasa hivi babake lazima awepo, mwanangu ana haki ya mapenzi ya babake tangu mwanzo. Na nimeshaamua sitajibania uzazi, nimesubiri kiasi cha kutosha.
 
lazima ajifikirie mwenyewe tu.any woman with self respect hawezi kuwa nyumba ndogo!

huo ndiyo ubinafsi, dunia hii si ya peke yako na wengine pia tupo na tuna haki zote
 
hasa mie na wewe unayetaka kubomoa nyumba ya mtu nani mwenye roho ya korosho??wajifanya hujui kujilengesha nyooooooooooo huna haya wala hujui vibaya,hio mimba hukujilengesha wewe ili umchukue mume wa mwenzio??? msonyoooo, yes mapenzi yanajua boundaries!!!mbona hukubeba mimba ya baba yako kama huna mipaka??mxiiii!

misonyo yote mwenyewe, lione kwanza. asiye haya wewe unayesonya hata usiyemjua, kuna siku nitakuwa mkwe wa mwanao utajionea mwenyewe aibu! Sijajilengesha basi kwa taarifa yako, tumepanga tukaamua. Sijachukua mume wa mtu yeye ndiye kanichukua baada ya kuona ninamfaa. Mambo ya kubeba mimba ya baba unayajua wewe labda ulishabeba mimba ya babako mzazi, pole. Mimi nimefunzwa maadili mema siwezi kufanya ufirauni kama huo uliofanya wewe.
 
Wewe kama unaona wanaume wako kibao nenda kajilengeshe kwao kama unavyodai. Au unafikiri mwanaume yeyote tu basi anafaa alimradi umemwona amevaa suruali? Lazima kwanza penzi liwepo. Ati kuharibu nyumba za watu, nani kakwambia imeharibika. Nyumba yake ipo na ameongezewa ya pili, faida juu ya faida. Wewe hupendi faida? Na kwa taarifa yako sichukui hata sentano yake nina biashara zangu za uhakika, na sasa hivi zinajiendesha zenyewe hata nisipoenda ofisini mwezi mzima. Sili cha mtu, na mwanangu nitalea mwenyewe. lakini sasa hivi babake lazima awepo, mwanangu ana haki ya mapenzi ya babake tangu mwanzo. Na nimeshaamua sitajibania uzazi, nimesubiri kiasi cha kutosha.

wewe kidudu mtu,huelewi mambo naona unarepresent wale wote wanaotembea na waume za watu jinsi uelewa wao ulivyo finyu,kubomoa nyumba ya mtu sio lazima mpaka umchune mtu mpaka senti ya mwisho.unaweza mkamua mtu QUALITY TIME ambayo alitakiwa aispend na familia yake!!!unawanyonya watoto time ambayo walitwakiwa wapate malezi ya baba.na kama ulikuwa unahitaji mtoto wako umlee na mtu ungetafuta mtu ambaye yuko single and available na sio mtu yuko occupied already,haiwezekani watoto wa wenzio wakose malezi ya baba yao ili toto lako lipate malezi ambayo unaona linapaswa kuwa nayo!
again,wanaume 'wanaofaa' wapo kibao,kama umekosa wa kukuoa inaonyesha jinsi usivyo wife material na wala hufai kuwa mke wa mtu,sijui huyo mume wa mtu ulimwendea kwa mganga...????mxiiii
 
huo ndiyo ubinafsi, dunia hii si ya peke yako na wengine pia tupo na tuna haki zote

una haki ya kuwa mke wa mtu,na sio nyumba ndogo,ubinafsi ni kuona kile kitu ambacho kiko occupied already cha kwako pia despite the fact vitu vingine single viko available!
 
wewe kidudu mtu,huelewi mambo naona unarepresent wale wote wanaotembea na waume za watu jinsi uelewa wao ulivyo finyu,kubomoa nyumba ya mtu sio lazima mpaka umchune mtu mpaka senti ya mwisho.unaweza mkamua mtu QUALITY TIME ambayo alitakiwa aispend na familia yake!!!unawanyonya watoto time ambayo walitwakiwa wapate malezi ya baba.na kama ulikuwa unahitaji mtoto wako umlee na mtu ungetafuta mtu ambaye yuko single and available na sio mtu yuko occupied already,haiwezekani watoto wa wenzio wakose malezi ya baba yao ili toto lako lipate malezi ambayo unaona linapaswa kuwa nayo!
again,wanaume 'wanaofaa' wapo kibao,kama umekosa wa kukuoa inaonyesha jinsi usivyo wife material na wala hufai kuwa mke wa mtu,sijui huyo mume wa mtu ulimwendea kwa mganga...????mxiiii
Kidudu mtu mwenyewe! Wewe umeolewa? Ati malezi ya baba, huyo wa kwangu ndie hahitaji malezi ya baba? Koma kabisa. Huyu ni mwanaye sawa kabisa na wale wa kule, na ukome kabisa kumwita mtoto wa mwenzio eti 'litoto', wa kwako unawaita hivyo?
 
misonyo yote mwenyewe, lione kwanza. asiye haya wewe unayesonya hata usiyemjua, kuna siku nitakuwa mkwe wa mwanao utajionea mwenyewe aibu! Sijajilengesha basi kwa taarifa yako, tumepanga tukaamua. Sijachukua mume wa mtu yeye ndiye kanichukua baada ya kuona ninamfaa. Mambo ya kubeba mimba ya baba unayajua wewe labda ulishabeba mimba ya babako mzazi, pole. Mimi nimefunzwa maadili mema siwezi kufanya ufirauni kama huo uliofanya wewe.


hahahaah haloooooooooooooooooooooo embu usinichoshe mtoto wa watu mie,niwe na mkwe wewe da sophy?? walahi nakurudishia mlangoni!!ushindwe na ulegee sina wakwe waliokaa kihasara hasara hivyo,ukomee binti eeh!eti umefuunzwa madili mema nyoooooooooooooooooooo,ungetembea na mume wa mtu kama una maadili??????hilo la mimba ya baba USIZUGE HAPOOOO,nilikuwa nakuuliza weye usiyejua vibaya,mbona hukubeba mimba ya babayo kama hujui mipaka...???
 
una haki ya kuwa mke wa mtu,na sio nyumba ndogo,ubinafsi ni kuona kile kitu ambacho kiko occupied already cha kwako pia despite the fact vitu vingine single viko available!

unaelewaje kuhusu 'mke wa mtu' au unafikiri kile cheti cha ndoa ndio mke? Kama umeolewa na cheti imekula kwako, mi nina mume inahuuuuu!
 
hahahaah haloooooooooooooooooooooo embu usinichoshe mtoto wa watu mie,niwe na mkwe wewe da sophy?? walahi nakurudishia mlangoni!!ushindwe na ulegee sina wakwe waliokaa kihasara hasara hivyo,ukomee binti eeh!eti umefuunzwa madili mema nyoooooooooooooooooooo,ungetembea na mume wa mtu kama una maadili??????hilo la mimba ya baba USIZUGE HAPOOOO,nilikuwa nakuuliza weye usiyejua vibaya,mbona hukubeba mimba ya babayo kama hujui mipaka...???

temea mate chini! Huyu mwanangu kama akiwa wa kiume atakuja kuoa kwako kama una binti. Tuombe uzima tu. tutaona sasa hizo nyodo zako na madharau. Hizi dharau zako za hapa mtandaoni ukiniona mwenyewe utaniheshimu, nina uwezo wa kukuajiri wewe na mumeo na kuwalipa mshahara mzuri tu.
 
Kidudu mtu mwenyewe! Wewe umeolewa? Ati malezi ya baba, huyo wa kwangu ndie hahitaji malezi ya baba? Koma kabisa. Huyu ni mwanaye sawa kabisa na wale wa kule, na ukome kabisa kumwita mtoto wa mwenzio eti 'litoto', wa kwako unawaita hivyo?


hahaa nina mume babu,vipi na huyu wangu unataka kujilengesha kwake kwani?...kwa taarifa yako watoto wanaozaliwa na nyumba ndogo wanaitwa kila aina ya majina....hilo langu la litoto mbona zuri sana tu,na ungependa na kuheshimu watoto wa wenzio usingejimilikisha baba yao...utajiju,na wewe unabaki kidudu mtu!
 
temea mate chini! Huyu mwanangu kama akiwa wa kiume atakuja kuoa kwako kama una binti. Tuombe uzima tu. tutaona sasa hizo nyodo zako na madharau. Hizi dharau zako za hapa mtandaoni ukiniona mwenyewe utaniheshimu, nina uwezo wa kukuajiri wewe na mumeo na kuwalipa mshahara mzuri tu.

kaajiri ndugu zako huko nadhani unao kibao wana shida ya kazi!,mwanangu haolewi na watoto wa 'mama mdogo' hata siku moja labda niwe nimekufa.as for me kukuheshimu wewe..sahau...nadharau nyumba ndogo zote!...sionagi sababu ya mtu kuwa na nyumba ndogo na sitakaa nione sababu!...hivi ndivyo nilivyo! pole!
 
unaelewaje kuhusu 'mke wa mtu' au unafikiri kile cheti cha ndoa ndio mke? Kama umeolewa na cheti imekula kwako, mi nina mume inahuuuuu!

nyooooo inaelekea unaililia hio siku ajitambulishe hata kwenu lol,pole huyo tayari anatambulika kama mume wa mtu!wewe ndio imekula kwako!,nakuonea huruma hata watoto wako wakikua watajiskia vibaya kuwa na mama kama wewe,au unadhania watapenda kujua walizaliwa kutokana na uhuni wa mama yao?
 
Back
Top Bottom