Mwenzenu hii mimba.......!

Mwenzenu hii mimba.......!

Heh, umerudi

Leta maneno mpambano uanze

Afu twende kule kwente digrii haitunzi mme, kumenoga kweli

Kinachowauma mi kuzalishwa? Kwa taarifa yenu nimezaa kwa uamuzi wangu. Alozalishwa yuko kule mtaa wa kule sa izi ana hangover ya wine alizobugia usiku.
 
Kinachowauma mi kuzalishwa? Kwa taarifa yenu nimezaa kwa uamuzi wangu. Alozalishwa yuko kule mtaa wa kule sa izi ana hangover ya wine alizobugia usiku.

kituuume nini wakati unatuepusha naa kukunja uso labor ward bibi !weee!
watu tuna mi hangover ya LIBOLO FC mamaaa!
utajibeba sana mwaka huu!
ulizoea kuchezea vyeupe,VYEKUNDU VITAKUCHAFUA!
narudia tena utazalisha tuuuuuu!ndani humtoi na huwi mke MILELE!
utabaki kusubiri konaaaani tu!
 
mie nliwambia achaneni na hiki kimeo.


uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hivi msamba ulishonwa ama, mshonaji nani?

Msamba unao wewe uliyezalishwa kwa mkunga wa jadi. Mi watoto wangu wamezaliwa hospitali ya kisomi ya Aga Khan, na daktari wangu ni bingwa wa fani hiyo Dr Shafik kama humjui kaulizie pale Aga Khan. Na kwa taarifa yako watoto wote wawili nimepata opresheni ya tumbo sijasukuma mtoto mie. Huku chini kuko fresh kabisa kitu full mnato.

Kumbe mwenzetu una msamba. Pole weeeeee!
 
Heh, umerudi

Leta maneno mpambano uanze

Afu twende kule kwente digrii haitunzi mme, kumenoga kweli
hilo pafu hana!
nilisema mi ntakula nae sahani moja popote atakapoingia
muite akuje kule!kwani unafikir hajui kuwe kumenoga!anajua sana!
anajitia hamnazo tuu !
niko radhi mkoloni anipe barua leo!
 
kituuume nini wakati unatuepusha naa kukunja uso labor ward bibi !weee!
watu tuna mi hangover ya LIBOLO FC mamaaa!
utajibeba sana mwaka huu!
ulizoea kuchezea vyeupe,VYEKUNDU VITAKUCHAFUA!
narudia tena utazalisha tuuuuuu!ndani humtoi na huwi mke MILELE!
utabaki kusubiri konaaaani tu!

Mi wa konani nala. We wa ndani wapiga miayo. Inahuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Msamba unao wewe uliyezalishwa kwa mkunga wa jadi. Mi watoto wangu wamezaliwa hospitali ya kisomi ya Aga Khan, na daktari wangu ni bingwa wa fani hiyo Dr Shafik kama humjui kaulizie pale Aga Khan. Na kwa taarifa yako watoto wote wawili nimepata opresheni ya tumbo sijasukuma mtoto mie. Huku chini kuko fresh kabisa kitu full mnato.

Kumbe mwenzetu una msamba. Pole weeeeee!

ahahahhahhahahahhhah yani umetafuta hospitaaali weee ukaona aga khan ndo ya kisomi!
af umenifanya nimshukur sana mzee K kwa kunisomesha i see!
ahahahahhahahhah
whaaaaaaaaaaaaaaaat walahi nampa pole sana na huyo mume anayeruhusu mbegu zake zinakuzwa kwenye tumbo lako!
hiv gfsonwin ujue mi akili ya klein ni kwa kuwa mamake ana akili enh!
sasa hapa kuna nini!
ahahahhahahahhahhaha kawambwa huwa tunamsingizia sana ujue!
 
Last edited by a moderator:
Msamba unao wewe uliyezalishwa kwa mkunga wa jadi. Mi watoto wangu wamezaliwa hospitali ya kisomi ya Aga Khan, na daktari wangu ni bingwa wa fani hiyo Dr Shafik kama humjui kaulizie pale Aga Khan. Na kwa taarifa yako watoto wote wawili nimepata opresheni ya tumbo sijasukuma mtoto mie. Huku chini kuko fresh kabisa kitu full mnato.

Kumbe mwenzetu una msamba. Pole weeeeee!


hahahhaahhahhaha! ana hasara aneyekuwekea mbegu.
kwangu mimi huna hata hadhi ya kubeba mbegu za mbwa wangu tumboni mwako.
 
kituuume nini wakati unatuepusha naa kukunja uso labor ward bibi !weee!
watu tuna mi hangover ya LIBOLO FC mamaaa!
utajibeba sana mwaka huu!
ulizoea kuchezea vyeupe,VYEKUNDU VITAKUCHAFUA!
narudia tena utazalisha tuuuuuu!ndani humtoi na huwi mke MILELE!
utabaki kusubiri konaaaani tu!

hahahhhahah! huyu Ana tu anasubiri zamu yake apange foleni ya mashudu.
mgonjwa wa akili huyu
 
Msamba unao wewe uliyezalishwa kwa mkunga wa jadi. Mi watoto wangu wamezaliwa hospitali ya kisomi ya Aga Khan, na daktari wangu ni bingwa wa fani hiyo Dr Shafik kama humjui kaulizie pale Aga Khan. Na kwa taarifa yako watoto wote wawili nimepata opresheni ya tumbo sijasukuma mtoto mie. Huku chini kuko fresh kabisa kitu full mnato.

Kumbe mwenzetu una msamba. Pole weeeeee!


unajua da sophy

ukiwa huna akili usipayukepayuke mana unajiaibisha

hivi unajua wewe ni limbukeni sana?
 
Back
Top Bottom