- Thread starter
- #201
Watu mnajisifia mitaro mliyopata kwa kupasuka misamba kwa wakunga wa jadi. Halafu mnajikondesha mchana mwashindia maji usiku wine. Nani ashobokee misinyao? Muulizeni baba junior vitu anavyopata hapa mtoto nimejazia kila idara, kitu fulu mnato mwanzo mwisho na maufundi juu. Nyie kunyweni wine. Mnalo.