KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Mungu anaipenda sana Tanzania, ila wananchi wake hatuelewi na kuthamini mapenzi hayo.Mungu ametenda .
Mungu anaipenda sana Tanzania, ila wananchi wake hatuelewi na kuthamini mapenzi hayo.Mungu ametenda .
Wakuu wasalaaam,
Namshukuru Mungu muweza wa yote ningali hai hata muda huu na type.
Kwa kweli niseme kweli, Magufuli ndiye rais bora wa wakati wote kwa mujibu wangu, simaanishi wengine hawafai ila katika wawili au watatu hatuna budi kuchagua.
Kwangu mimi kila ninapoona shida ya maji najisemea kimoyomoyo maybe mzee angekuwepo hizi mambo zisingekuwepo, ninapoona umeme unakatika katika pia namkumbuka mzee,
Wadau sina maana mbaya ila namkumbuka Magufuli.
Povu ruksa. Na kazi iendelee mama kasema.
Mfuateni kaburini na roho zenu mbaya, sisi tuko na Samia Suluhu Hassan.
Mimi nisha drill borehole napata kinywaji baridi kutoka kwenye bedrock.Kila la kheri mkuu japo Tabu ya maji na kukatika umeme vinatupata sote
Tangu lini hawa 👇 jamaa wakawa na SSH?Mfuateni kaburini na roho zenu mbaya, sisi tuko na Samia Suluhu Hassan.
Kijana mrembo huyo.Tangu lini hawa 👇 jamaa wakawa na SSH?View attachment 2053971
Mungu atuepushe na janga lile lisije kutokea tenaAfrica kama sio dunia imepoteza mtu wa shoka Magufuli atabaki kuwa Magufuli wala si Mbowe wala Lissu wenye uzalendo kwa watu wake na nchi yake!
Namuona mama yako mzazi hapo amedamshiTangu lini hawa jamaa wakawa na SSH?View attachment 2053971
Ewe Mwenyezi Mungu tuepushie mbali na kiumbe dhalim kama Meko kisije kupata nafasi ya uongozi tena katika Taifa letuYaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.
Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.
Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani, huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda, migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu, jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.
Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana, wanalindana , wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.
yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.
Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
Basha wako wanamfokoa kinoma hukoChadema walisema amekufa watakula raha badala yake wao ndiyo wanaliwa raha gerezani.
Misukule ya Mwendazake imekosa mtu wa kuwalisha unga baada ya mmiliki kuzikwa Chato mwezi MachiWakuu wasalaaam,
Namshukuru Mungu muweza wa yote ningali hai hata muda huu na type.
Kwa kweli niseme kweli, Magufuli ndiye rais bora wa wakati wote kwa mujibu wangu, simaanishi wengine hawafai ila katika wawili au watatu hatuna budi kuchagua.
Kwangu mimi kila ninapoona shida ya maji najisemea kimoyomoyo maybe mzee angekuwepo hizi mambo zisingekuwepo, ninapoona umeme unakatika katika pia namkumbuka mzee,
Wadau sina maana mbaya ila namkumbuka Magufuli.
Povu ruksa. Na kazi iendelee mama kasema.
Sgang lazima mkumbuke sana kwani aliwalemaza, na mlijifunza ubaguzi , jeuri na manyanyaso Kwa wengine.Subiri mamisukule yaje yakupinge
Mimi sio doctor kama unaugua nenda hospital!Mungu atuepushe na janga lile lisije kutokea tena