Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu Dkt. Magufuli kuna kitu ambacho haukukifanya kitakuangusha tu kwenye Uchaguzi huu

Mimi nina mdogo wangu amegraduate udsm mwaka 2016 na hana ajira hadi leo. Huyu alikuwa mpiga dili gani???

Mie niligraduate SUA mwaka 2009 na 2010 kipindi cha JK nilipata kazi kwenye kampuni binafsi ya utafiti wa mazao!!

Magufuli wenu amefeli vibaya na lazima aanguke mwaka huu pamoja na kubebwa na vyombo vyenu vya Habari uchwara.
Lazima ee unazani ni raus kama kuchukua hako ka degree kaKo ee
 
Hivi pato linaongezeka vipi wakati hamna mtumishi wa umma aliyeongezewa mshahara kwa miaka 5
Screenshot_20200808-103053.jpg
 
Ukada wa aina hii ni zaidi ya upumbavu na ulofa uliousema Mkapa.

Hao kuku unamuuzia nani watu hawana pesa. Mimi ni Daktari nimejiari,imeshatokea mara tatu kuna jamaa wametoka kijijini huko na wagonjwa wao wakabeba kuku ili wauze wapate pesa kwa ajili ya matibabu. Wamezinguka na kuku wao tena wa kienyeji hawajapata mtu wa kumuuzia mwisho wa siku wakaja kuomba niwatibu wagonjwa wanipe kuku ukabidi niwasaidie tu.
Ulofa na Upumbavu mliambiwa ninyi huko
 
Kura hapati Kabisa, ndio maana kaijenga chato kwa sababu alijua Hawezi kurudi ikulu, Zote kwa Tundu✌️
 
2020 watanzania tutamchagua JPM kwa kura za kutosha.
Mazuri ya JPM ni mengi sana,changamoto huwa zipo tu.hata U.S kuna raia wanalalamikia changamoto za taifa lao.
ilhali tunaambiwa U.S ni kinara wa kila jambo la kimaendeleo.

Hategemei kura kuwa rais, bali anatumia madaraka yake.
 
Kosa la mkuu ni kuleta ikulu zile tabia za baba wa kisukuma. Itamgharimu sana.
Kama ambavyo siku zote nimekua nikisema kua mimi ni mkweli daima na fitina kwangu mwiko. Ni MwanaCCM hai niliyekitumikia muda mrefu na bado naendelea. Rais wangu ulikosea mambo machache sana pamoja na mengine mengi makubwa uliyofanya.

MAISHA MAGUMU KWA WATANZANIA
Mwenyekiti wangu, maisha ni magumu sana kwa watanzania wote hata mtu kupata milo miwili kwa siku ni shida. Kama wasaidizi hawasemi ukweli mkuu huko mitaani watu taabani kuliko awamu iliyopita. Watu walioko vijijini hawataki kujua Dar es salaam kuna marababara za juu au kuna Airport, hawajui kama kama kuna makubwa yamefanyika. Wao wanataka maisha mazuri.
Kiukweli akitokea mgombea atakayewaambia vizuri walalahoi hawa kura zote atapewa.

BIASHARA KUA NGUMU
Kwa sasa maisha ya wafanyabishara yamekua magumu kabisa kila mahali kuliko awamu iliyopita, lipo tatizo kubwa ambalo kama tusiposema ukweli CCM hakuna mfanyabiashara atakayetupatia kura.

MAISHA MAGUMU KWA WAFANYAKAZI WA UMMA
Ni muda sasa wafanyakazi wa umma wanalia na maslahi duni, wengi hawana amani.
Hapa kura hatupati kabisa katika kundi hili tupende tusipende. Akitokea mgombea atakayeongea vizuri na kundi hili anaweza kuvuna kura nyingi sana na atapewa ushirikiano mkubwa .Wao wanaangalia mtu atakayewajali vizuri.

Mimi najaribu kusema msije mkasema hatukurlshauri.
Magufuli hajawahi kudhamini utu na maisha ya mtu mwingine unless otherwise kuwe na political gains
2020 watanzania tutamchagua JPM kwa kura za kutosha.
Mazuri ya JPM ni mengi sana,changamoto huwa zipo tu.hata U.S kuna raia wanalalamikia changamoto za taifa lao.
ilhali tunaambiwa U.S ni kinara wa kila jambo la kimaendeleo.
Ambao wako taabani huko mitaani ni wale waliozeoa mishemishe na kuishi kisanii, sisi ambao tunajitambua na kuamini jasho lako ndio mkombozi namba moja tunaona maisha ni kawaida tu.

Changamoto haizwezi kukosekana katika maisha. Kama wewe ni mmoja wa wale walionufaika na ubabaishaji uliokiwepo awamu iliyopita, lazima awamu hii uone maisha magumu.

Changamsha akili, si Magufuli, Lisu, Membe n.k atakaebadilisha maisha yako.
Kura yangu nakupa Lisu
Ndugu Mahanju, ni kweli unayoyasema; Lakini, nawaomba Watanzania tutangulize uzalendo kwanza. Uzalendo ambao ndani mwake mna kujitoa (mhanga) kwa hali na mali kwa ajili ya Nchi; kuna kujikana nafsi na kutengeneza kwa ajili ya watoto wetu, watoto wa watoto wetu, watoto wa watoto wa watoto wetu, na kuendelea.

Hebu jiulize, lipi bora, kujinyima (kwa muda) ili kile tunachokusanya tukitumie kujenga kwanza miundombinu mbalimbali (SGR, Stiglers HEP, Barabara nzuri, hospitali na vifaa tiba, eropleni, mifumo ya maji, mashule na vyuo, n.k.); Au, tukitumie kuongeza mishahara ya watumishi, na kadhalika?

Ni wazi huwezi fanya mambo yote kwa wakati mmoja. Hakutokuwa na efficiency. Lazima uwe na priority and options.
"Roma haikujengwa kwa siku moja"; hali kadhalika Ulaya magharibi au Asia. Watu walijifunga vibwebwe na leo hii vitukuu wa vitukuu ndio wanafaidi jasho la babu zao
Kwa hiyo, JPM yuko sawa. Watumishi wa Serikali na Watanzania kwa jumla, tunapaswa kujifunga mkanda na kuridhika na hiki kidogo tunachopata sasa.

Ni dhiki ya muda tu kwani tukiisha kamilisha kutengeneza miundombinu hii, Pesa inayokusanywa kutoka vyanzo mbalimbali itatumika sasa kuboresha maisha ya watu.

Tena kwa ulaiini kabisa. Serikali itakuwa na uwezo wa hata kufanya KCCCM kuwa zaidi ya 2,000/= kwa mwezi!
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki JPM.
Kama kwa akili yako umefikiri kuandika haya basi Watanzania kwa uwingi wetu tunashida katika mifumo yetu ya fahamu.
Mimi nina mdogo wangu amegraduate udsm mwaka 2016 na hana ajira hadi leo. Huyu alikuwa mpiga dili gani???

Mie niligraduate SUA mwaka 2009 na 2010 kipindi cha JK nilipata kazi kwenye kampuni binafsi ya utafiti wa mazao!!

Magufuli wenu amefeli vibaya na lazima aanguke mwaka huu pamoja na kubebwa na vyombo vyenu vya Habari uchwara.
mkuu umeandika vizuri ila tu kwa hoja za mtoa mada mfano , wafanyabiashara na wafanyakazi kaongea vizuri sana , inawezekanaje watumishi wafunge mikanda wengine hawafungi yahani mwalim umlipe laki nne kama mtumishi wakati yupo mtumishi mwingine analipwa mpaka 6 M, ALAFU tz hatuko kwenye vita wala nchi haiwezi jengwa kwa mara moja kwamba watu wafunge mikanda ,
pia swala la wafanyabiashara tatizo kubwa imekua kodi kubwa ambazo zimekua mizigo kwa wafanyabiashara sasa ukisema nao wafunge mikanda kuvumilia kodi hambazo hazilipiki na wakati huo wanafilisiwa na kufunga biashara kweli hapa kuna tija.
Maisha magum kwa tz chanzo kimekua na mzunguko mdogo wa pesa na nafikili wenda pia sababu za kuchangia hili kati ya mengine wenda hata hayo niliyotaja hapo juu yakawa yanachangia.
mwisho ni lazima tuijenge tz yetu ila kufunga mkanda nakataa na hakuna sababu ya kufanya hivyo na wala mtumishi hawezi kukuelewa kwamba waendelee kufunga mikanda mpaka maendeleo yapatikane wakati nao ni sehem ya kuleta maendeleo
 
Endelea kuleta maneno ya mtaani na nadharia tu ukijifanya Eti unampamba au kumjenga huyo Magufuli kumbe unazidi kumuharibia.

Na marafiki zangu waliopoteza kazi Quality Group baada ya kampuni kufungwa kutokana na Mwenye kampuni kufirisiwa na serikali na kubambikiwa makesi na Serikali ya Magufuli nao unawaambiaje????


Na rafiki yangu ambae Ghala lake limeuzwa na bank baada ya kushindwa kurudisha mkopo baada ya serikali kuwapiga marufuku kununua korosho na kuchukua korosho kupitia jeshi nae unamwambiaje??? Tena kwenye kampuni yake alikuwa na watumishi 12 nao unawaambiaje????


Magufuli is a failure ndugu. Habebeki huyo mtu wenu. Kaharibu uchumi wa nchi!!
mkuu umeongea vizuri na nafikili hata kama ikitokea maghu akapita lazima aelewe kwamba wapo watu humsifia kupita kiasi kitu ambacho sio kizuri ,wengi uangalia tu kwamba kumsifia sijui ndo waonekanane ni wafia chama, ijulikane wapo ambao mpaka sasa hatujajiunga na chama chochote japo bahada ya uchaguzi nitajiunga na chadema iwe madarakani au la, but binafsi mi mpigaji kura mzuri na uchaguzi wa 2015 nilisafili toka mkoa mmoja kwenda mwingine katika kituo changu nilipo jiandikisha na nikampigia kula maghu japo 2010 nilimpigia dr slaa na mbunge wake but udiwan nilimpa wa ccm , ila kusema ukweli kutokana utendaji wa mh maghu
katika wizara mbali mbali ukiacha ya uvuvi ambayo nakumbuka akiwa waziri aliwai kuja na takwimu za fulu kutoka ziwa victoria kabla ya kua rais.
so itoshe kusema kipindi chake akiwa rais kuna vitu vingi ametuangusha sio kama tulivyo tegemea , na kama anataka kuweka sawa mambo basi kwanza atangulize samahani kwa watanzania then aeleze anarekebishaje vinginevyo watu wana nyongo si za nchi hii
 
Wapo walio graduate mwaka huo huo wakaanzisha ufugaji wa kuku kwa msingi wa TZS 2,000,000 sasa hivi they are talking of 3 - 4mil a month. Msubiri Lisu, wengi wenu mnaamini nyumbani kwake amefunga bomba la ajira ambalo anasubiri achaguliwe ili alifunguwe ambao hamna ajira mpate ajira.
walipata wapi 2,000,000
 
Ndugu Mahanju, ni kweli unayoyasema; Lakini, nawaomba Watanzania tutangulize uzalendo kwanza. Uzalendo ambao ndani mwake mna kujitoa (mhanga) kwa hali na mali kwa ajili ya Nchi; kuna kujikana nafsi na kutengeneza kwa ajili ya watoto wetu, watoto wa watoto wetu, watoto wa watoto wa watoto wetu, na kuendelea.

Hebu jiulize, lipi bora, kujinyima (kwa muda) ili kile tunachokusanya tukitumie kujenga kwanza miundombinu mbalimbali (SGR, Stiglers HEP, Barabara nzuri, hospitali na vifaa tiba, eropleni, mifumo ya maji, mashule na vyuo, n.k.); Au, tukitumie kuongeza mishahara ya watumishi, na kadhalika?

Ni wazi huwezi fanya mambo yote kwa wakati mmoja. Hakutokuwa na efficiency. Lazima uwe na priority and options.
"Roma haikujengwa kwa siku moja"; hali kadhalika Ulaya magharibi au Asia. Watu walijifunga vibwebwe na leo hii vitukuu wa vitukuu ndio wanafaidi jasho la babu zao
Kwa hiyo, JPM yuko sawa. Watumishi wa Serikali na Watanzania kwa jumla, tunapaswa kujifunga mkanda na kuridhika na hiki kidogo tunachopata sasa.

Ni dhiki ya muda tu kwani tukiisha kamilisha kutengeneza miundombinu hii, Pesa inayokusanywa kutoka vyanzo mbalimbali itatumika sasa kuboresha maisha ya watu.

Tena kwa ulaiini kabisa. Serikali itakuwa na uwezo wa hata kufanya KCCCM kuwa zaidi ya 2,000/= kwa mwezi!
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki JPM.
Mkuu Magu nae kajifunga mkanda au yeye ni mzalendo sana wa nchi hii kiasi kwamba kufunga mkanda hakumhusu
 
Kama ambavyo siku zote nimekua nikisema kua mimi ni mkweli daima na fitina kwangu mwiko. Ni MwanaCCM hai niliyekitumikia muda mrefu na bado naendelea. Rais wangu ulikosea mambo machache sana pamoja na mengine mengi makubwa uliyofanya.

MAISHA MAGUMU KWA WATANZANIA
Mwenyekiti wangu, maisha ni magumu sana kwa watanzania wote hata mtu kupata milo miwili kwa siku ni shida. Kama wasaidizi hawasemi ukweli mkuu huko mitaani watu taabani kuliko awamu iliyopita. Watu walioko vijijini hawataki kujua Dar es salaam kuna marababara za juu au kuna Airport, hawajui kama kama kuna makubwa yamefanyika. Wao wanataka maisha mazuri.
Kiukweli akitokea mgombea atakayewaambia vizuri walalahoi hawa kura zote atapewa.

BIASHARA KUA NGUMU
Kwa sasa maisha ya wafanyabishara yamekua magumu kabisa kila mahali kuliko awamu iliyopita, lipo tatizo kubwa ambalo kama tusiposema ukweli CCM hakuna mfanyabiashara atakayetupatia kura.

MAISHA MAGUMU KWA WAFANYAKAZI WA UMMA
Ni muda sasa wafanyakazi wa umma wanalia na maslahi duni, wengi hawana amani.
Hapa kura hatupati kabisa katika kundi hili tupende tusipende. Akitokea mgombea atakayeongea vizuri na kundi hili anaweza kuvuna kura nyingi sana na atapewa ushirikiano mkubwa .Wao wanaangalia mtu atakayewajali vizuri.

Mimi najaribu kusema msije mkasema hatukurlshauri.
Aibu wafanyakazi wa serikali wanashindia mihogo Choma na maji ukienda posta dar hawana hela ya lunch hii ni aibu inashusha Hali ya kazi.Njaa ndio itamnyima kura.Ukiwasomesha watu namba awatokupenda ni lzm watakusomesha namba kwenye box la kura
 
Wapo waliokuwa wababaishaji, semina za uongo, safari fake, nk. If you don't know you better ask, uliwasikiliza wasiojua watakupoteza na hutajikwamua hapo ulipo sasa
Kwahiyo waliopiga kwasasa awaongezwi mshahara kisa walikuwepo wajanja wajanja?
Kwahiyo na wastaafu awalipwi haki zao kwakua walikua wajanja wajanja?
Hivi hiyo miaka ya nyuma nu chama gani kiliua madarakani?
 
Kama ambavyo siku zote nimekua nikisema kua mimi ni mkweli daima na fitina kwangu mwiko. Ni MwanaCCM hai niliyekitumikia muda mrefu na bado naendelea. Rais wangu ulikosea mambo machache sana pamoja na mengine mengi makubwa uliyofanya.

MAISHA MAGUMU KWA WATANZANIA
Mwenyekiti wangu, maisha ni magumu sana kwa watanzania wote hata mtu kupata milo miwili kwa siku ni shida. Kama wasaidizi hawasemi ukweli mkuu huko mitaani watu taabani kuliko awamu iliyopita. Watu walioko vijijini hawataki kujua Dar es salaam kuna marababara za juu au kuna Airport, hawajui kama kama kuna makubwa yamefanyika. Wao wanataka maisha mazuri.
Kiukweli akitokea mgombea atakayewaambia vizuri walalahoi hawa kura zote atapewa.

BIASHARA KUA NGUMU
Kwa sasa maisha ya wafanyabishara yamekua magumu kabisa kila mahali kuliko awamu iliyopita, lipo tatizo kubwa ambalo kama tusiposema ukweli CCM hakuna mfanyabiashara atakayetupatia kura.

MAISHA MAGUMU KWA WAFANYAKAZI WA UMMA
Ni muda sasa wafanyakazi wa umma wanalia na maslahi duni, wengi hawana amani.
Hapa kura hatupati kabisa katika kundi hili tupende tusipende. Akitokea mgombea atakayeongea vizuri na kundi hili anaweza kuvuna kura nyingi sana na atapewa ushirikiano mkubwa .Wao wanaangalia mtu atakayewajali vizuri.

Mimi najaribu kusema msije mkasema hatukurlshauri.
unaelewa maaana ya capitalism? haiwezekani kila mtu afanikiwe katika maisha nahaitakuja kutokea lazima kue na madaraja life lisogee, sasa kubaki chini ni wewe mwenyewe uamue! and thats how the economy is designedm haiwezekani wote wafanikiwe ndo maaana ela znawekwa kwa uchache, ili atakaepata awe amefanya kazi kweli kweli
 
Ndugu Mahanju, ni kweli unayoyasema; Lakini, nawaomba Watanzania tutangulize uzalendo kwanza. Uzalendo ambao ndani mwake mna kujitoa (mhanga) kwa hali na mali kwa ajili ya Nchi; kuna kujikana nafsi na kutengeneza kwa ajili ya watoto wetu, watoto wa watoto wetu, watoto wa watoto wa watoto wetu, na kuendelea.

Hebu jiulize, lipi bora, kujinyima (kwa muda) ili kile tunachokusanya tukitumie kujenga kwanza miundombinu mbalimbali (SGR, Stiglers HEP, Barabara nzuri, hospitali na vifaa tiba, eropleni, mifumo ya maji, mashule na vyuo, n.k.); Au, tukitumie kuongeza mishahara ya watumishi, na kadhalika?

Ni wazi huwezi fanya mambo yote kwa wakati mmoja. Hakutokuwa na efficiency. Lazima uwe na priority and options.
"Roma haikujengwa kwa siku moja"; hali kadhalika Ulaya magharibi au Asia. Watu walijifunga vibwebwe na leo hii vitukuu wa vitukuu ndio wanafaidi jasho la babu zao
Kwa hiyo, JPM yuko sawa. Watumishi wa Serikali na Watanzania kwa jumla, tunapaswa kujifunga mkanda na kuridhika na hiki kidogo tunachopata sasa.

Ni dhiki ya muda tu kwani tukiisha kamilisha kutengeneza miundombinu hii, Pesa inayokusanywa kutoka vyanzo mbalimbali itatumika sasa kuboresha maisha ya watu.

Tena kwa ulaiini kabisa. Serikali itakuwa na uwezo wa hata kufanya KCCCM kuwa zaidi ya 2,000/= kwa mwezi!
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki JPM.

Mbona yeye afungi mkanda anasaza Kodi zetu kwa kufanya visivyo mfano kutumia Kodi zetu kuwashughulikia wapinzani badala ya tatizo la ajira, kununua wapinzani, kurudia chaguzi zisizo kichwa, kufanya miradi isiyotija kwa taifa.
Maisha Ni Leo sio kesho.Kuleta maendeleo sio ndo kuwasomesha watz namba.
 
Bora yako umesema ya moyoni harafu mtu yuko bungeni anasema atawale miaka 20.

Kafanya mazuri mengi ila kkunamengine ni maumivu sana

Utawala bora ni pamoja na maisha watu binafisi, rocky city mall lipo tupu hamna wateja hadi wanatembea kutafuta wateja mtaani
 
Back
Top Bottom