Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,023
- 1,609
Mwenyekiti wa Chama Cha Wavuvi Nchini, Bakari Kadabi amesema Kuporomoka bei ya samaki kutapelekea kufilisi mitaji yao na kuchochea uvuvi haramu kwasababu italazimika wavuvi wahakikishe wanapata samaki wengi ili wapate kipato kikubwa
Aidha, ameiomba Serikali kuingilia kati mabadiliko ya bei za uuzaji wa mazao ya samaki viwandani pamoja na kusimamia sheria ya ununuzi wa mabondo yanayotokana na sangara kufuatia kutokuwepo utaratibu maalumu wa uuzwaji hivi sasa
Bei ya kilo moja ya Samaki inadaiwa kuporomoka kutoka Tsh. 11000 hadi Tsh. 7000
Source: Dar Mpya
Aidha, ameiomba Serikali kuingilia kati mabadiliko ya bei za uuzaji wa mazao ya samaki viwandani pamoja na kusimamia sheria ya ununuzi wa mabondo yanayotokana na sangara kufuatia kutokuwepo utaratibu maalumu wa uuzwaji hivi sasa
Bei ya kilo moja ya Samaki inadaiwa kuporomoka kutoka Tsh. 11000 hadi Tsh. 7000
Source: Dar Mpya