Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Mwenyekiti wa bodi ya msamaha kwa wafungwa Augustine Mrema amelazwa katika hospitali mojawapo nchini India akicheki afya yake kutokana na maradhi yanayomsumbua,safari hiyo ya nchini India yeye na mkewe, imewezeshwa na Rais Maguful.