saimon111
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,736
- 1,352
Harafu first lady analazwa sewahaji......Mwenyekiti wa bodi ya msamaha kwa wafungwa Augustine Mrema amelazwa katika hospital mojawapo nchini India akicheki afya yake kutokana na maradhi yanayomsumbua,safari hiyo ya nchini India yeye na mkewe, imewezeshwa na Rais Magufuli