kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 708
Uzuri ni kwamba wakati CCM wakitapatapa wananchi wanujua ukweli na wanazidi kupelekewa ukweli na kufunguliwa kwenye utumwa wa CCM na kuwekwa huru kupitia M4C. Uhuruhuu ndio utakaoleta ukweli na ukweli utazidi kuwafanya wawe huru na mwisho wa siku ukweli utatengana na uongo