Mwenyekiti UVCCM na mauaji ya Morogoro

Mwenyekiti UVCCM na mauaji ya Morogoro

Polisi gani anaowaongelea SHE-GIRL? Wale wale waliowachukua wafanyabiashara wa madini wakawapeleka mabwepande na kuwaua kisha wakawaita majambazi?

Polisi hawa hawa tunaowasikia kila siku wakiua raia na baadae zikaundwa tume za kuwasafisha?

Too bad, shameful creatures CCM. Huyu she-girl ni aina mpya ya Nape. Ubongo unaongea huku mdomo unafikiri.

Ana-conclude kuwa ni CDM as if polisi wa CCM wana rekodi nzuri linapokuja suala la haki za binadamu. Kwa mwenye akili atajiuliza, kama maandamano yalizuiwa ili kusitokee jambo baya, mbona namna yenyewe ya uzuiaji imekuwa mbaya kuliko jambo baya lililotazamiwa?

Ama hakika hii ndio CCM, sawa na daktari anayemtibu mgonjwa maumivu kwa kumuua na kujisifia kuwa sasa 'mwili wa fulani' hauna maumivu tena.

Angetuambia, kwa kuwa polisi walikuwepo maeneo yale ilikuwaje hawakumkamata huyo wanayedai kumuua kijana, angetueleza maandamano yangeachwa yafanyike yangeatiri nini!
Walioomba kufanya mkutano ndio wangekamatwa kwa kuhamasisha maandamano bali waandamanaji wangeachwa kutekeleza maandamano yao ya amani. Usishangae siku simba ikiifunga yanga na wakaanza kushangilia kwa mbwembwe uwanjani hii mipolisi inaweza kufyatua mabom ya machozi eti inatuliza ghasia. Polisi hawajui tafsiri ya vurugu, ovyo kabisa!!!
 
Nimemwona shighela akilaani chama cha demokrasia na maendeleo kuwa kinahusika na mauaji ya kijana mmoja muuza gazeti msanvu morogoro .kasema iweje, "CHADEMA wavaae magwanda, skafu, halafu polisi aje apige kijana muuza magazeti?

Haiwezekani hao ni chadema,"je hukumu ya shighela ni ya kiungwana? wakati serikali imesema inafanya uchunguzi ?

Hizi propagada za nini?kwanini asiwe na subira kama chadema walihusika, au polisi si itajulikana.Kwanini awe mtu wa kudandia hoja ili kujijenga kisiasa?

CHAMZO;CHANNE TEN TV SAA MOJA NA NUSU
shigella...mzee anaeongoza vijana......ya dunia mengi...kabla ya anguko kuu tutayashuhudia mengi na ya kustaajabisha..ila mhm kutambua kwamba mti ulooza mizizi bila shaka hatima yake ni kuanguka....Maneno ya Shigela tunayahifadhi kama kumbukumbu yetu na hapo mbeleni yatatumika kuwakumbusha wajukuu zetu historia ya wapinga ukombozi ili wakaone jinsi ambavyo watumwa na watwana wa wakoloni weusi walivoshiriki kuikwamisha nchi na watu wake......what a dead Legacy SHIGELA is
 
aaa kwanza hata umri wake unamsuta atajiitaje kijana wakati anaonekana ni mzeee hakosi miaka 42 ngoja tutafute cv zake
 
Nimemwona shighela akilaani chama cha demokrasia na maendeleo kuwa kinahusika na mauaji ya kijana mmoja muuza gazeti msanvu morogoro .kasema iweje, "CHADEMA wavaae magwanda, skafu, halafu polisi aje apige kijana muuza magazeti?

Haiwezekani hao ni chadema,"je hukumu ya shighela ni ya kiungwana? wakati serikali imesema inafanya uchunguzi ?

Hizi propagada za nini?kwanini asiwe na subira kama chadema walihusika, au polisi si itajulikana.Kwanini awe mtu wa kudandia hoja ili kujijenga kisiasa?

CHAMZO;CHANNE TEN TV SAA MOJA NA NUSU

Chadema walikuwa na silaha za moto katika maandamano hayo? na kama ndiyo polisi wamekamata silaha iliyotumika kumua kijana Ally Zona? Ikiwa hawajaikamata haoni ccm haifai kuongoza nchi?
 
kwanza yule si kijana kama CCM haina vijana basi haiwezekani mzee yule kuwa kijana. Nimeona Channel Ten anasema chadema Ndio watakuwa wamemuua muuza magazeti. Eti polisi hawawezi kuwaacha wenye kofia na mabango wa chadema na kwenda kumpiga muuza magazeti.

Kwa maana nyingine anatumbia wenye kofia na mabango ndio walistahili kuuawawa?
 
Nimemwona shighela akilaani chama cha demokrasia na maendeleo kuwa kinahusika na mauaji ya kijana mmoja muuza gazeti msanvu morogoro .kasema iweje, "CHADEMA wavaae magwanda, skafu, halafu polisi aje apige kijana muuza magazeti?

Haiwezekani hao ni chadema,"je hukumu ya shighela ni ya kiungwana? wakati serikali imesema inafanya uchunguzi ?

Hizi propagada za nini?kwanini asiwe na subira kama chadema walihusika, au polisi si itajulikana.Kwanini awe mtu wa kudandia hoja ili kujijenga kisiasa?

CHAMZO;CHANNE TEN TV SAA MOJA NA NUSU

Problem ni kwamba hawajachukua option nzuri.Kwani uwepo wa polisi mkubwa vile haiwezekani katik eneo lolote pembeni ya njia katika tukio polisi walikuwa tayari kwa lolote(Yaani katik mazingira ambayo kuliko CDM wadhuru mtu wote wangeuwawa) zipigwe risasi na siye na polisi na polisi wasifahamu hadi CCM waje kuwaambia.Tayari CCM wanajiweka pabaya ,kwani wao ndio pekee wanaoweza ingiza watu bila polisi wafanya kitu na wa kufanya hivyo, na tayari "Majibizano na dr. Slaa yalikuwa ni kuhusu CCm kuandaaa kundi la vijana na wameingiza silaha.".So option wanayotumia si nzuri sana kwa CCM, ni kama kujikata mkia.

SASA WASEME MAUAJI NI CDM WATHIBITISHE KUWA SLAA HAKUKOSEA.AMA WAWAUZE POLISI.NADHANI HAPA HAWAKUPASWA ONGEA KWA KUNYOOSHA MIKONO,ILA WANGEACHA POLISI WASEME.CCM WAMEPOTEZA TENA POINT KIRAHISI.

Kuna shida katik CCM katik kupanga na kutoa taarifa kwa umma.Mara nyingine nawahurumia, mara nyingine napata hofu kwa vile wao ndio wameshika nchi na mipaka yetu inayoanza kumegwa inahitaji uimara sana.Sasa kwa jinis wanavyofanya wanashindwa nishawishi kama kweli wataweza pambana na adui wa nje.

CCM WANAZIDI NIIMARISHA KATIK IMANI YANGU KUWA NI "NOVICE".IMEJAA MAKINDA WENYE KILA RESOURCE YA KUWEZA WAPATIA EDGE OVER OTHER PARTS.ILA KAM LAANA WANAPOTEZA GAME ,DKK ZA MWISHO.ILA WANASAHAU KUWA RESOURCES ZINADIMINISH WITH TIME.nA SIKU ZAJA WATAJIKUTA HAKUNA TENA MUDA WA KUTUMIA AKILI WALA NINI KWANI MAMABO YANASHIFT TOO FAST AGAINST WAO.WATAJIKUTA WAKUA HOVYO KWA PANIC,WATAJIKUTA WENGINE WAMEJIINGIZA KATIKA MAHAKAMA ZA KIMBARI KIPUUZI SANA.IAM SURE WANAHITAJI VIJANA MAKINI, SI HAWA WATOTO WA VIGOGO AMBAO KWANGU HAWANA TOFAUTI SANA NA WALE MABINTI AMBAO HUWA WAZAZI WAO HUWAAMBIA KUWA NI WAREMBO KM KUWAPA MOYO,HALAFU WAKADHANI KUWA HIYO INATOSHA WAFANYA WAREMBO NA HIVYO KULAZIMISHA KUWA MAMISS.HAWA WATOTO WA VOGOGO KATIK FAMILIA ZAO PENGINE WALIMABIWA KUWA WANAFANANA NA WANASIASA,WAKAIFANYA KUWA NDIO NYOTA YAO, NA KWA KUSIKIA KUWA LAZIMA NDOGO ZAO ZITIMIE BASI WAZAZI WAKAWASAIDIA KUFIKIA HIZO NDOTO.SASA NDIO HAWA WALIOPITIA HATA ILANI YA CCM KWA HARAKA SANA KAM SI KUSIKIA VIPENGELE KATIK MIJALA YA CCM BILA KUISOMA NA KUILEWA.BILIA KUIFAHAMU NI WAPI HAITEKELEZEKI KWA UFANISI AU KABISA.HAWAKUJIFUNZA SIASA KTK UZOEFU TANGU UTOTO.WAO WALIKUWA WAKIANGALIA MOVIE ZA AKINA RAMBO,ARNOLD, VAN DAME, AND SUCH NA KUHADITHIANA.

KWA UJUMLA GENRATION ILIYOPO CCM LEO,NI KAMA SIMBA ALIYELELEWA KATIK CAGE HALAFU KAACHIWA PORINI KAWEKEWA NA WANYAMA KIBAO, ILA HUWA HAWEZI WINDA,HAJUI VIZIA, AMEZOEA NYANG`ANYANG`A MIZOGA WALETEWAYO N ABINADAMU KATIK CAGE.HAWA WANYAMA HUFA NJAA KWA VILE KILA WAMFUTAVYO MNYAMA HUWA WANAKWENDA KWA STAILI YA KUNFUKUZA NA SI KUMSGIKA.MWISHOWE KUJARIBU PORA MAWINDO YA WENZIE AU HATA KUWAUA.NAYO HUMSHINDA KWA VILE WENZIE WANAJUA ZAIDI YA KUWINDA WANAJUA KUPAMBANA.MWISHOWE HUJIKUTA WAKIFA KAMA SI KUSHINDIA MAKOMBO.VIJANA WA CCM KWA MAJINA YAO MAKUBWA BADO HAWAJUI MAMABO YA MSINGI KABISA MABYAO HAYAFUNDISHWI SHULENI,WALA KATIKA VITABU AMBAVYO PIA HAWAN AMUDA WA KUSOMA KWA UMAKINI HUKU AKILI IKIZUNGUKA KATIKA YALIYOPO KICHWANI TAYARI NA KULINGANISHA,TU SI THEM YA KITABU,ILA HIDEN MESSAGES, AND DISTORTIONS.

HAWA VIJANA WASIOFIKIA VIWANGO VYA KUINGIA KTIK FAIR SURVIVAL PATHS+WAZEE WA CCM WALIOJAA TAMAA NA HILA KATIK YAO KIASI CHA KUMALIZA BUSARA ZAO KAMA WAZEE NA VIJANA IMARA WA JANA.WMAICHA CCM IKIINGIA MAWINDONI KAMA "NOVICE".HAWASHIKI TENA VITOWEO, SASA WAMEINGIA KATIK HATARAI YA KUPORA SIMBA WENGINE(VYAMA PINZANI), MBAYA ZAIDI VYAMA PINZANI KUNA VYENYE MBINU NYINGI KATIKA ZOEZI LA UWINDAJI.HAWA WALIJIFUNZA KUPITIA EXPERIENCE.NA MAWINDO YAO HUFANIKIWA NA MAPAMBANO YAO DHIDI YA MAADUI HUSHINDA NA KUWAPONYA.
 
Mimi siku zote huwa namuona shigela ni mgonjwa. Sijui wengine mnamuonaje.
Kweli umenena. Hawa polisi wameua na kuumiza watanzania wengi tu. Tukumbuke huko nyuma walikuwa wanasingizia wameua jambazi kumbe wao ni majambazi na wauaji wa kutupa. Huyu kijana wamemwaga damu yake bila sababu yeyote ile. Damu hii itawatembelea siku zote za maisha yao. Kilio cha hii familia kama wengine kitawaaibisha kila mahali waendapo. Uchungu wa watanzaia kuonewa kisasi hiki utawalaani na CCM wanayoitetea wakijua haifai hata kwa mbwa na hatimaye viongozi hawa wagonjwa watakufa kama wanyama wa mwituni tena kwa aibu kubwa kwa kujigawia uongozi huku wakishindwa kuwaongoza hata watoto wa shule ya msingi.
CDM ilianza na Mungu na itamaliza na Mungu. Kikwete utaaibika milele na CCM yako sii hapa duniani tu bali na katika umilele pia. Utakaa jizani wewe na viongozi wenzio wanafiki na jeshi lenu pumbavu la polisi na utawala wako wote. Shame on you!
 
Nimemwona shighela akilaani chama cha demokrasia na maendeleo kuwa kinahusika na mauaji ya kijana mmoja muuza gazeti msanvu morogoro .kasema iweje, "CHADEMA wavaae magwanda, skafu, halafu polisi aje apige kijana muuza magazeti?

Haiwezekani hao ni chadema,"je hukumu ya shighela ni ya kiungwana? wakati serikali imesema inafanya uchunguzi ?

Hizi propagada za nini?kwanini asiwe na subira kama chadema walihusika, au polisi si itajulikana.Kwanini awe mtu wa kudandia hoja ili kujijenga kisiasa?

CHAMZO;CHANNE TEN TV SAA MOJA NA NUSU

Problem ni kwamba hawajachukua option nzuri.Kwani uwepo wa polisi mkubwa vile haiwezekani katik eneo lolote pembeni ya njia katika tukio polisi walikuwa tayari kwa lolote(Yaani katik mazingira ambayo kuliko CDM wadhuru mtu wote wangeuwawa) zipigwe risasi na siye na polisi na polisi wasifahamu hadi CCM waje kuwaambia.Tayari CCM wanajiweka pabaya ,kwani wao ndio pekee wanaoweza ingiza watu bila polisi wafanya kitu na wa kufanya hivyo, na tayari "Majibizano na dr. Slaa yalikuwa ni kuhusu CCm kuandaaa kundi la vijana na wameingiza silaha.".So option wanayotumia si nzuri sana kwa CCM, ni kama kujikata mkia.

SASA WASEME MAUAJI NI CDM WATHIBITISHE KUWA SLAA HAKUKOSEA.AMA WAWAUZE POLISI.NADHANI HAPA HAWAKUPASWA ONGEA KWA KUNYOOSHA MIKONO,ILA WANGEACHA POLISI WASEME.CCM WAMEPOTEZA TENA POINT KIRAHISI.

Kuna shida katik CCM katik kupanga na kutoa taarifa kwa umma.Mara nyingine nawahurumia, mara nyingine napata hofu kwa vile wao ndio wameshika nchi na mipaka yetu inayoanza kumegwa inahitaji uimara sana.Sasa kwa jinis wanavyofanya wanashindwa nishawishi kama kweli wataweza pambana na adui wa nje.

CCM WANAZIDI NIIMARISHA KATIK IMANI YANGU KUWA NI "NOVICE".IMEJAA MAKINDA WENYE KILA RESOURCE YA KUWEZA WAPATIA EDGE OVER OTHER PARTS.ILA KAM LAANA WANAPOTEZA GAME ,DKK ZA MWISHO.ILA WANASAHAU KUWA RESOURCES ZINADIMINISH WITH TIME.nA SIKU ZAJA WATAJIKUTA HAKUNA TENA MUDA WA KUTUMIA AKILI WALA NINI KWANI MAMABO YANASHIFT TOO FAST AGAINST WAO.WATAJIKUTA WAKUA HOVYO KWA PANIC,WATAJIKUTA WENGINE WAMEJIINGIZA KATIKA MAHAKAMA ZA KIMBARI KIPUUZI SANA.IAM SURE WANAHITAJI VIJANA MAKINI, SI HAWA WATOTO WA VIGOGO AMBAO KWANGU HAWANA TOFAUTI SANA NA WALE MABINTI AMBAO HUWA WAZAZI WAO HUWAAMBIA KUWA NI WAREMBO KM KUWAPA MOYO,HALAFU WAKADHANI KUWA HIYO INATOSHA WAFANYA WAREMBO NA HIVYO KULAZIMISHA KUWA MAMISS.HAWA WATOTO WA VOGOGO KATIK FAMILIA ZAO PENGINE WALIMABIWA KUWA WANAFANANA NA WANASIASA,WAKAIFANYA KUWA NDIO NYOTA YAO, NA KWA KUSIKIA KUWA LAZIMA NDOGO ZAO ZITIMIE BASI WAZAZI WAKAWASAIDIA KUFIKIA HIZO NDOTO.SASA NDIO HAWA WALIOPITIA HATA ILANI YA CCM KWA HARAKA SANA KAM SI KUSIKIA VIPENGELE KATIK MIJALA YA CCM BILA KUISOMA NA KUILEWA.BILIA KUIFAHAMU NI WAPI HAITEKELEZEKI KWA UFANISI AU KABISA.HAWAKUJIFUNZA SIASA KTK UZOEFU TANGU UTOTO.WAO WALIKUWA WAKIANGALIA MOVIE ZA AKINA RAMBO,ARNOLD, VAN DAME, AND SUCH NA KUHADITHIANA.

KWA UJUMLA GENRATION ILIYOPO CCM LEO,NI KAMA SIMBA ALIYELELEWA KATIK CAGE HALAFU KAACHIWA PORINI KAWEKEWA NA WANYAMA KIBAO, ILA HUWA HAWEZI WINDA,HAJUI VIZIA, AMEZOEA NYANG`ANYANG`A MIZOGA WALETEWAYO N ABINADAMU KATIK CAGE.HAWA WANYAMA HUFA NJAA KWA VILE KILA WAMFUTAVYO MNYAMA HUWA WANAKWENDA KWA STAILI YA KUNFUKUZA NA SI KUMSGIKA.MWISHOWE KUJARIBU PORA MAWINDO YA WENZIE AU HATA KUWAUA.NAYO HUMSHINDA KWA VILE WENZIE WANAJUA ZAIDI YA KUWINDA WANAJUA KUPAMBANA.MWISHOWE HUJIKUTA WAKIFA KAMA SI KUSHINDIA MAKOMBO.VIJANA WA CCM KWA MAJINA YAO MAKUBWA BADO HAWAJUI MAMABO YA MSINGI KABISA MABYAO HAYAFUNDISHWI SHULENI,WALA KATIKA VITABU AMBAVYO PIA HAWAN AMUDA WA KUSOMA KWA UMAKINI HUKU AKILI IKIZUNGUKA KATIKA YALIYOPO KICHWANI TAYARI NA KULINGANISHA,TU SI THEM YA KITABU,ILA HIDEN MESSAGES, AND DISTORTIONS.

HAWA VIJANA WASIOFIKIA VIWANGO VYA KUINGIA KTIK FAIR SURVIVAL PATHS+WAZEE WA CCM WALIOJAA TAMAA NA HILA KATIK YAO KIASI CHA KUMALIZA BUSARA ZAO KAMA WAZEE NA VIJANA IMARA WA JANA.WMAICHA CCM IKIINGIA MAWINDONI KAMA "NOVICE".HAWASHIKI TENA VITOWEO, SASA WAMEINGIA KATIK HATARAI YA KUPORA SIMBA WENGINE(VYAMA PINZANI), MBAYA ZAIDI VYAMA PINZANI KUNA VYENYE MBINU NYINGI KATIKA ZOEZI LA UWINDAJI.HAWA WALIJIFUNZA KUPITIA EXPERIENCE.NA MAWINDO YAO HUFANIKIWA NA MAPAMBANO YAO DHIDI YA MAADUI HUSHINDA NA KUWAPONYA.
 
Wazungu wajanja sana,wametuletea vyama vingi kutupumbaza ili tuuane.waroho wa madaraka hawaoni thamani ya utu wanaona thamani ya madaraka

Mroho wa madaraka ni yupi? Aliye madarakani na ameshindwa kuongoza au aliye nje ya madaraka na anaweza kuongoza ila anakandamizwa kwa hila?
 
Mtu mwenyewe jina la vijidudu vinavyo sababisha kuharisha damu atakuwa na akili kweli?
 
....[/QUOTE]

"SIASA ZA MAJI TAKA" hivi Beno Malis hajasema kitu? Je Riz1?
 
Kwani CHADEMA walikuwa na SMG na Mabomu?
Kwa kauli yake ni wazi kuwa CCM iliwatuma Polisi wawaue wana CHADEMA.. Anaowaongoza nao wamekaa nyuma ya mtu huyu wame Relax??? Kweli CCM ina viumbe wa ajabu!.
 
Nimemwona shighela akilaani chama cha demokrasia na maendeleo kuwa kinahusika na mauaji ya kijana mmoja muuza gazeti msanvu morogoro .kasema iweje, "CHADEMA wavaae magwanda, skafu, halafu polisi aje apige kijana muuza magazeti? Haiwezekani hao ni chadema,"je hukumu ya shighela ni ya kiungwana? wakati serikali imesema inafanya uchunguzi ? Hizi propagada za nini?kwanini asiwe na subira kama chadema walihusika, au polisi si itajulikana.Kwanini awe mtu wa kudandia hoja ili kujijenga kisiasa?CHAMZO;CHANNE TEN TV SAA MOJA NA NUSU , nilimwona pale akitokwa mapovu kama kala OMO kumbe kajinyea, sijui alikuwa anaongea kama IGP? Kamanda wa polisi wa Morogoro! msemaji wa jeshi la Polisi,! mkuu wa mkoa! Alikuwa anatoa hukumu kama nani? chama chake hakikuhusika na maandamano, mikutano wala hoja pale Moro yeye kilichomfanya ajiharishie ni kitu gani? kile kizee kujiita kijana lazima kitakuwa kichawi kile wakati Mkuu wa Jeshi la Polisi Moro anajitetea kuwa ni bomu lililorushwa na vijana wake na ilikuwa bahati wakati haikuwa kweli. hili zee la UVCCM ndio linatengeneza maneno yasiyo na tija kwa uhuni uliofanywa na Polisi Moro, namsihi akondoe kinyesi kwanza na kutawadha labda akili itakuja]
 
Mwisho wa siku majibu ya tume iliyoundwa hayatatolewa hadharani kama yatalihusu Jeshi la Polisi. Lakini kama sisi CHADEMA kweli tumehusika majibu yatawekwa hadharani na itakuwa mwisho wetu kukubalika Morogoro na Laana iwe juu yetu. Lakinia hata ukiangalia video hii utaona polisi huyu anavyowaamuru wenzake wapige. Halafu utajua kama mhusika atakuwa nani. Mauaji ya Raia mikononi mwa Polisi Moro - YouTube
 
Namuunga mkono Shighellla asilimia zote kuna kitu chadema wanahusika moja kwa moja na katika mauaji ukizingatia nao walikuwa wamebeba silaha
 
ukweli ni kuwa c c m inatumia nguvu nyingi mahali ambapo hapana sababu ingekuwa vizurizaidi c c n wakakaa kimya kuhusu kifo kilichotokea huku moro katika maandamano ya cdm kwa kuwa yote yaliotokea kwenye eneo la tukio yakowazi kwa sasa watanzania wanaona na wanajua na wala hawahitaji wapiga debe wa c c m kuwasemea tuombe salama 2015 itatupa majibu:flypig:
 
He's a confirmed bitter loser. Anadhani ata-spin watu kwa propaganda mbuzi kama hizo? Amwulize boss wake Nape.
M4C ya CDM ni namba nyingine kabisa.
 
Back
Top Bottom