Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
"Haiwezekani polisi wampige risasi raia ambaye hana alama yoyote ya chadema"!Hii kauli inathibitisha kuwa kuna mkakati wa makusudi wa kuwaua wanachadema unaoratibiwa na polisi na CCM.
Huyu jamaa angeona sawa kama polisi wangemuua mtu mwenye sare au alama yoyote ya chadema kwa kutumia risasi za moto!
Na hawa ndio thinktank wa chama called themselves youths!Kama kuna kauli moja ya kimbumbumbu imetolewa leo duniani basi ni hii.
na hili lingese shigella limesahau! Na ingekuwa ni chadema wameamua kuua, wangemuua mtu aliyeko kwenye maandamano i.e aliyevaa skafu na magwanda ile kukoleza chuki zaidi!(magamba yanapumbaza sana)