Upo sahihi mkuu unachotakiwa ni kutoa njia kwa vijana wafanye nini ili wafike huko na kuishi bila kuvunja sheria kama unajua kama haujui tulia tuu watapata njia maana hakuna lisilowezekana wala msiwakatishe tamaa kabisa...
Umenifungua kitu[emoji122] [emoji122]Nenda jamaica, unahitaji Passport tu,
Unazuga hapo ndo badae unajiachia usa baby
Visa USA ni balaa blaaa!Kwanza swala la visa uhakika nalo upo?
Duuuh[emoji15]Na kama una umeme hautoweza kuingia huku marekani! Huku marekani tunakaa watu wenye akili timamu tu! Hivyo kama una utapia mlo wa akili baki huko huko vichochoroni kwenu.
Kudos mkuu[emoji122] [emoji122]Upo sahihi mkuu unachotakiwa ni kutoa njia kwa vijana wafanye nini ili wafike huko na kuishi bila kuvunja sheria kama unajua kama haujui tulia tuu watapata njia maana hakuna lisilowezekana wala msiwakatishe tamaa kabisa...
USA RIVER-ARUSHA boss.We upo USA yawap?
Kuna mtu kaomba kujua process ya kupata immigrant visa. Nimempa "from the horses mouth".
Mimi baharia ingawa wa nchi kavu na sikuwepo ughaibuni enzi za mtoto wa Gorbachev Vale wa Pereas, lakini nishawahi kusaidia mpaka watu waliofika nchi za watu kibichibichi hawana sehemu za kufikia miji mikubwa, kwa hiyo habari za kuoneshana njia kwetu ni utamaduni, hata kwetu Dar Wasukuma waliokuwa wanakuja mara ya kwanza mjini hawana pakufikia walifikia sana.
Sina roho ya Kangi Lugola, ningekuwa na roho hiyo ningekuwa bongo nasota bado.
Kwa hiyo kupigiana mapande watu kusafiri si kitu ambacho sikijui. Ila nasisitiza tu dunia imebadilika, zile safari za kiskauti skauti za 1997 mpaka 2000, enzi ya kabla ya 9/11 masharti nafuu kujichanganya rahisi, kwa sasa hata ukifika US, bila makaratasi ya kueleweka sisemi huwezi kufanikiwa, kuna vichaa kibao wanakomaa, ila utapata tabu sana na unaweza kuona tabu hazina maana, au ukaishia jela.
Kwa hivyo sitaki kuonekana navunja watu moyo.
Tunahitaji kuongeza wanajeshi huku.
Ila safari inabidi ipangwe kwa akili na si kukurupuka,unaweza kufanya mistake moja tu katika mipango yako ikaku cost siku zote.
Aondoke na ngapi?Mkuu,iyo ela ndogo sana kwa kujilipua USA
Jipange kwanza
Bibiee bado nakuhitaji sana, usinikimbieeUmenifungua kitu[emoji122] [emoji122]
Nimependa sana ulivyomjibu. Kuna wadau humu wanasahau kuwa tunatofautiana uelewa na kumkashifu.Wamarekani wameweka mambo yao yote wazi kwenye mtandao.
US kuna visaza aina mbili, non-immigrant (kusoma, kutalii, biashara etc kimsingi visa yoyote ile ambayo ni ya kwenda Marekani, lakini unarudi kwenu, si ya kuhamia kimoja)
Halafu kuna "immigrant visa" kwa watu walioamua kuhamisha makazi kuja kuishi US.
Naona swali lako limejikita kwenye hii immigrant visa.
Habari zaidi kuhusu aina tofauti na masharti yake zimeandikwa vizuri katika mitandao ya tovuti za serikali ya Marekani.
Ona hapa The Immigrant Visa Process
Kumdharau mtu usiyemjua wala kujua mchango wake katika jamii ni kitu kibaya sana, moja ya sababu ya umasikini wetu.Nimependa sana ulivyomjibu. Kuna wadau humu wanasahau kuwa tunatofautiana uelewa na kumkashifu.
Ndio Mkuu Nimekuelewa Ahsante SanaKuna mtu kaomba kujua process ya kupata immigrant visa. Nimempa "from the horses mouth".
Mimi baharia ingawa wa nchi kavu na sikuwepo ughaibuni enzi za mtoto wa Gorbachev Vale wa Pereas, lakini nishawahi kusaidia mpaka watu waliofika nchi za watu kibichibichi hawana sehemu za kufikia miji mikubwa, kwa hiyo habari za kuoneshana njia kwetu ni utamaduni, hata kwetu Dar Wasukuma waliokuwa wanakuja mara ya kwanza mjini hawana pakufikia walifikia sana.
Sina roho ya Kangi Lugola, ningekuwa na roho hiyo ningekuwa bongo nasota bado.
Kwa hiyo kupigiana mapande watu kusafiri si kitu ambacho sikijui. Ila nasisitiza tu dunia imebadilika, zile safari za kiskauti skauti za 1997 mpaka 2000, enzi ya kabla ya 9/11 masharti nafuu kujichanganya rahisi, kwa sasa hata ukifika US, bila makaratasi ya kueleweka sisemi huwezi kufanikiwa, kuna vichaa kibao wanakomaa, ila utapata tabu sana na unaweza kuona tabu hazina maana, au ukaishia jela.
Kwa hivyo sitaki kuonekana navunja watu moyo.
Tunahitaji kuongeza wanajeshi huku.
Ila safari inabidi ipangwe kwa akili na si kukurupuka,unaweza kufanya mistake moja tu katika mipango yako ikaku cost siku zote.
Mkuu kuhusu kuka kihalali usiwe na hofu sina mpango wa kuingia kwa njia zisizo halali na ninaona mnaongea Sana kuhusu visa pia ondoen hofu visa yenyew watatoa tu hiyo hainitii hofu ila nilikua t nataka nijue ni sehemu gani nzuri ya kufikia na upatikanaji wa kazi ni mziri coz ukiingia kiharam hata upatikanaji wa kazi ni utakua mgumuSiwezi kumshauri mtu aje Marekani kama hana mpango wa kukaa kihalali muda wote atakapokuwa huku.
Sijawahi kuwa out of legal status Marekani hata kwa sekunde moja. Naona uzuri wa kuwa hivyo.
Na naona watu wanavyohangaika sana kwa sababu hawana legal status.
Mkuu umeniua πππππππHajaomba ushauri wa kibiashara, anaulizia namna ya kufika US
Nimehuzunika Sana just ya huyu jamaaa aliye comment ugumboHata hvy siku!aum kwa sababu uwezo wako wa kufikir umeishia hapo hapo ulipo waza tu congratulations [emoji312] [emoji312] [emoji312] [emoji312]
Wapi huko mkuu?Bibiee bado nakuhitaji sana, usinikimbiee
Well said...inawezekana mtu ana ambitions but uwe na proper plan...us sio mahΓ li pa kukimbilia. ...home is best.Kuna mtu kaomba kujua process ya kupata immigrant visa. Nimempa "from the horses mouth".
Mimi baharia ingawa wa nchi kavu na sikuwepo ughaibuni enzi za mtoto wa Gorbachev Vale wa Pereas, lakini nishawahi kusaidia mpaka watu waliofika nchi za watu kibichibichi hawana sehemu za kufikia miji mikubwa, kwa hiyo habari za kuoneshana njia kwetu ni utamaduni, hata kwetu Dar Wasukuma waliokuwa wanakuja mara ya kwanza mjini hawana pakufikia walifikia sana.
Sina roho ya Kangi Lugola, ningekuwa na roho hiyo ningekuwa bongo nasota bado.
Kwa hiyo kupigiana mapande watu kusafiri si kitu ambacho sikijui. Ila nasisitiza tu dunia imebadilika, zile safari za kiskauti skauti za 1997 mpaka 2000, enzi ya kabla ya 9/11 masharti nafuu kujichanganya rahisi, kwa sasa hata ukifika US, bila makaratasi ya kueleweka sisemi huwezi kufanikiwa, kuna vichaa kibao wanakomaa, ila utapata tabu sana na unaweza kuona tabu hazina maana, au ukaishia jela.
Kwa hivyo sitaki kuonekana navunja watu moyo.
Tunahitaji kuongeza wanajeshi huku.
Ila safari inabidi ipangwe kwa akili na si kukurupuka,unaweza kufanya mistake moja tu katika mipango yako ikaku cost siku zote.
Unajua dola 2000 wewe???Habar Mr&Mrs
Kama ilivyo Ada yakua kila mwenye shida bhas ana hitajika kutatuliwa na aulizae si mjinga haimanishi mdogo either mkubwa na kila mtu Ana ndoto zake binafsi Hakika kiukweli ndoto yangu kwenda Marekani so nahitaj msaada kwa wale wenye uzoefu na nchi ya Marekan.
Nina miaka 20 Education form 4 kuhusu lugha ya kigeni najua kuhusu travel documents it's up to me nahitaj msaada wenu Nahitaj kujua ni sehemu gani itakua nzuri pia na upatikanaji wa kazi ni mzuri iwe ya kutumia nguvu maana kwa Education yangu najua kupata kazi rahisi ni ngumu.
Balance nilio nayo ni kama $1500 kuhusu nauli pia nahitaj msaada kwa anaejua nauli kutoka dar mpka USA itani cost shingapi? $1500 iko nje na nauli pia nahitaj kubahatisha bahati yangu kiukwel maisha ya bongo kutoka ni ngumu ila panapo majaliwa yake Allah unaweza toa sadaka $2000 ukapata zaidi maana bado sijaona biashara gani inaweza kudumu now until the future.
Ahsanten Sana kwa anaejua nauli nahitaj msaada wake na pia mwenye uzoefu na nchi ya Marekan anijuze zaidi na zaidi any comments Ina ruhusiwa
Naona unataka kwenda UsWapi huko mkuu?