kama kweli hilo jini unalotaka kumpa litampatia pesa huyu ndugu yetu, kwanini tena utake pesa kutoka kwake wakati jini ni lako? si ungekua nazo za kutosha kutoka kwa huyo jini? au hii imekaaje?
....shetani ameshapokea ombi lako atatuma msaidizi wake akuandikishe rasmi kwenye ufalme wake. Aliwahi kumwambia yesu ukinisujudia ntakupa mali zoooote hizi, yesu akasema ineandikwa msujudie mungu baba peke yàke.....
Naomba mhusika ambaye aliwahi kufanyiwa mchakato wa jini la pesa anijuze ni nini nikifanye ili nami nilipate.
Nawasubiria wenye taaluma hii.
Nakushauri usiingie kwenye kifungo ambacho hutoweza toka
pole sana mkuu kwa yaliyokukumba
MziziMkavu kama kweli hilo jini unalotaka kumpa litampatia pesa huyu ndugu yetu, kwanini tena utake pesa kutoka kwake wakati jini ni lako? si ungekua nazo za kutosha kutoka kwa huyo jini? au hii imekaaje?
Ndio...... kaka falcon mombasaMziziMkavu nashkuru kwa somo lako fupi lakini je ni kuulize wenye pesa za majini wanaushirikiano na freemason?
Mbna ndugu yangu hajalalamika sema amesema kweli,chukua ushauri wake ufanyie kazi.Umeleta mada watu wana responde.Kuwa msikivu na mnyenyekevu utapata kitu.by waugh
nashukru kwa aliyeheshimu mada yangu.
Nia iliyonifanya niandike ww huwezi kunibadilisha,na mimi nimetamka wazi kwa wahusika tu na sijahitaji wenye matusi na kejeli.kwanini?watanzania mnapenda matusi na lawama? Haiwezekani kila kitu ni lawama.