Mwenye utaalamu wa majini ya pesa

Mwenye utaalamu wa majini ya pesa

MziziMkavu je ni sahihi kutumia vitu vyenye udhamini wa kishetani ? kwa mfano unakwenda hospitali iliyojengwa na freemason au unapita kwenye barabara iliyojengwa na freemason
Sio sahihi ila uchaguzi wako wwe mwenyewe unavyotak ziko dawa za kuvuta biashara ili upate wateja lakini kutumia Majini ndio wakutajarishe sio ushauri mzuri kwa sababu mwisho wake watakupoteza maisha yako Majini hawana mwisho mwema falcon mombasa Utakuja siku umevunja nao Ahadi nao basi ndipo watakapo pata sababu ya wewe kukutoa roho yako.
 
Last edited by a moderator:
....shetani ameshapokea ombi lako atatuma msaidizi wake akuandikishe rasmi kwenye ufalme wake. Aliwahi kumwambia Yesu ukinisujudia ntakupa Mali zoooote hizi, Yesu akasema ineandikwa msujudie Mungu baba peke yàke.....

Je wewe huwa unasujudu?
 
Kufanya kazi kwa nidhamu na subira ndiyo mambo ya kuzingatia ili ufanikiwe...
 
Kwa ugumu huu wa maisha afadhali kupata hiyo fweeedha
 
Mkuu mshana naomba ufafanuzi wa hayo uliyosema kuwa hasijitie kwenye kifungo ambacho hawezi kutoka,kuna kifungo gani mkuu,pls

Kwanza pesa za majini hazipatikani kwa urahisi kama zile pesa nyingine za kutoa makafara mara nyingi majini huteua watu wao wenyewe na kuwatunuku utajiri lakini kwa masharti mengi magumu
Sasa wewe utakapoomba na kukubaliwa hutakiwa kusaini mkataba wa masharti mpaka kifo na Maranyingi masharti yenyewe ni kuwa na mke mmoja tu watakayekuletea/kukutafutia hutakiwi kula vyakula vya aina fulani au kuvaa nguo za rangi fulani au kufanya starehe zozote hasa pombe wanawake na sigara. ..
 
Kwanza pesa za majini hazipatikani kwa urahisi kama zile pesa nyingine za kutoa makafara mara nyingi majini huteua watu wao wenyewe na kuwatunuku utajiri lakini kwa masharti mengi magumu
Sasa wewe utakapoomba na kukubaliwa hutakiwa kusaini mkataba wa masharti mpaka kifo na Maranyingi masharti yenyewe ni kuwa na mke mmoja tu watakayekuletea/kukutafutia hutakiwi kula vyakula vya aina fulani au kuvaa nguo za rangi fulani au kufanya starehe zozote hasa pombe wanawake na sigara. ..

Ikitokea kabla ya kujiunga nao ulisha oa mke,inakuwaje?pls
 
Kiongozi unahisi kubeti ni kazi rahisi sana nakuomba usijidanganye hakuna kitu kigumu kama kula milion nane kwa elfu moja au elfu tano nitafute nikupe kisa kilichonitokea khs hiyo beting ni hatari

Kisa gani mkuu?
Uliingia kwa Mhindi bila hodi au? lol lol, betting si nzuri kama usipojua kubeti responsibly. Bet ni mchezo mzuri kama utabeti for fun.
Watu wanaenda kwenye ma bar wanakunywa bili za zaidi ya laki, wanahonga, wanaibiwa kutokana na ulevi lakini majuto ni kidogo sana.
Lakini, endapo ukawa unaujua mchezo wa kubeti vizuri na ukaweza kuchambua timu za ko za maana angalau less than 3 odds ukaweka pesa responsibly, unaweza kutoka.
Achana na buku kwa milioini, nenda kwa laki kwa laki na 90.
over.
Nitafute mkuu tusaidiane hapa.
 
....shetani ameshapokea ombi lako atatuma msaidizi wake akuandikishe rasmi kwenye ufalme wake. Aliwahi kumwambia Yesu ukinisujudia ntakupa Mali zoooote hizi, Yesu akasema ineandikwa msujudie Mungu baba peke yàke.....

Wewe unamsujudia bwana mungu wako?
 
Kisa gani mkuu?
Uliingia kwa Mhindi bila hodi au? lol lol, betting si nzuri kama usipojua kubeti responsibly. Bet ni mchezo mzuri kama utabeti for fun.
Watu wanaenda kwenye ma bar wanakunywa bili za zaidi ya laki, wanahonga, wanaibiwa kutokana na ulevi lakini majuto ni kidogo sana.
Lakini, endapo ukawa unaujua mchezo wa kubeti vizuri na ukaweza kuchambua timu za ko za maana angalau less than 3 odds ukaweka pesa responsibly, unaweza kutoka.
Achana na buku kwa milioini, nenda kwa laki kwa laki na 90.
over.
Nitafute mkuu tusaidiane hapa.

Mimi beting siwezi kabisa. Bora kitu ambacho nafanya mimi ndo nikiewekee hela. Tukubaliane tuweke karata hapa tucheze mshindi anachukua amount fulani, otherwise simuamin mtu. Hata icheze man U na yanga sibeti
 
Mimi beting siwezi kabisa. Bora kitu ambacho nafanya mimi ndo nikiewekee hela. Tukubaliane tuweke karata hapa tucheze mshindi anachukua amount fulani, otherwise simuamin mtu. Hata icheze man U na yanga sibeti

Mkuu.
Ukitaka ujue kubeti, anza kufuatilia mpira wa ligi mbalimbali.
Hebu bofya LiveScore Soccer : Live Soccer Scores by LiveScore.com au SoccerVista - soccer results, predictions and betting picks au ZuluBet - Soccer Predictions, Football Tips for Today halafu angalia utajifunza kitu.

Kwa mfano Jana, kama mtu angembeti Zamalek na Pohon T, zilikuwa ni gem rahisi sana.

Unapata pesa!

Tatizo linakuja plae mtu anapobetia timu 20 kwa 1000 anataka ale milioni 5 au 20!

Sio rahisi hivyo.

Ila anayechukua timu 3 za uhakika unaweka dau kubwa responsibly, unakula vizuri tu.
 
merengo90.

Angalia kuna gemu za wazi kabisa, kwa mfano Misri Vs Tanzania, hapo unashindwa kujua nani anashinda kweli jamani?

FC Barcelona Vs Athletic Bilbao?

Madrid Vs Levante?

Karibu sana mchezoni

www.meridianbet.co.tz
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom