Mwenye utaalamu wa majini ya pesa

Mwenye utaalamu wa majini ya pesa

Samahi mzizi mkavu.

Wengine tumesikia mahali kuwa kuna Majini mema na Majini mabaya.

Kama walivyo wanadamu

Hebu tuambie vipi mtu akitaka msaada toka kwa majini mema ?
Je nayo yatamungiza kwenye masharti ya kichawi ?

Tujuze mtaalamu.





Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Unahitaji Majini mema ili yakufanyie kitu gani?
 
....mkuu Yesu tu ndo amesema mmepewa bure toeni bure baraka zake, shetani hata siku moja hawezi kutoa bure, lazima alipe kafara in one way or another. na mbele ya safari masharti yatazidi kuwa magumu kwake mpaka ya kuua ndugu wa damu....
hata kwa yesu hakuna vitu vya bure,sema neema inakuwa kubwa,wewe ukitoa moja,unapewa kumi,
 
Kuna jamaa yang kutwa na kavaa lipete maarufu jicho la nyoka, kavaa kidoleni,yaani hadi leo hajaowa miaka karibia 40, kwa masharti ya hiyo makitu. Tafuta kihalali inapendeza hizo za masharti siyo kabisa
Wewe muoga kweli
 
by waugh
nashukru kwa aliyeheshimu mada yangu.
Nia iliyonifanya niandike ww huwezi kunibadilisha,na mimi nimetamka wazi kwa wahusika tu na sijahitaji wenye matusi na kejeli.kwanini?watanzania mnapenda matusi na lawama? Haiwezekani kila kitu ni lawama.
Kutokana na uzembe wa kufkir na kujishughulisha kama walivotangulia kusema wakuu hapo juu unaona n kheri kujipatia pesa kwa njia za shetan. So sorry mkuu.
Nanukuu "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom