Mwenye utaalamu wa majini ya pesa

Mwenye utaalamu wa majini ya pesa

Ila honestly kibongobongo wengi wa wale tunaowaita matajiri wanatumia mbinu chafu kupata pesa..hasa hii ya majini..
 
Kiongozi unahisi kubeti ni kazi rahisi sana nakuomba usijidanganye hakuna kitu kigumu kama kula milion nane kwa elfu moja au elfu tano nitafute nikupe kisa kilichonitokea khs hiyo beting ni hatari

Mwaga hapa na sie tujifunze mkuu.
 
NAITWA DR, MDIRO namba 0746223645. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU UTAJIRI NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) NIPIGIE 0746223645. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.(TAFADHALI PIGA SIMU UKIWA NA NIA YA DHATI)

Hakikisha yafuatayo kabla ya kupiga simu
1.uwe na moyo wa kutunza siri
2.uwe na umri kuanzia miaka 18
3.uwe na utayari na nia ya kweli
4.uwe jasiri
 
Sio sahihi ila uchaguzi wako wwe mwenyewe unavyotak ziko dawa za kuvuta biashara ili upate wateja lakini kutumia Majini ndio wakutajarishe sio ushauri mzuri kwa sababu mwisho wake watakupoteza maisha yako Majini hawana mwisho mwema falcon mombasa Utakuja siku umevunja nao Ahadi nao basi ndipo watakapo pata sababu ya wewe kukutoa roho yako.
Samahi mzizi mkavu.

Wengine tumesikia mahali kuwa kuna Majini mema na Majini mabaya.

Kama walivyo wanadamu

Hebu tuambie vipi mtu akitaka msaada toka kwa majini mema ?
Je nayo yatamungiza kwenye masharti ya kichawi ?

Tujuze mtaalamu.





Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Hii mada ya utajir inatisha sana!

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
wazee wa slope..,kweli hiki n kizazi cha nyoka

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Hali hi tete mpaka watu wanatafuta utajiri kibishi!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
NAITWA DR, MDIRO namba 0746223645. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU UTAJIRI NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) NIPIGIE 0746223645. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.(TAFADHALI PIGA SIMU UKIWA NA NIA YA DHATI)

Hakikisha yafuatayo kabla ya kupiga simu
1.uwe na moyo wa kutunza siri
2.uwe na umri kuanzia miaka 18
3.uwe na utayari na nia ya kweli
4.uwe jasiri
Vp kama kuna mawenge na ujasiri ukanitoka ghafla??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba mhusika ambaye aliwahi kufanyiwa mchakato wa jini la pesa anijuze ni nini nikifanye ili nami nilipate.

Nawasubiria wenye taaluma hii.
Nyingi ni story za kusadikika mazingaombwe viini macho na uongo uliotukuka! Majini yana njia zake hayaamrishwi ovyo ovyo kukidhi matakwa ya binadamu, na ikitokea yakakubali jua wazi masharti yake yatakushinda
Hahahahahaaa hata wachapishaji pesa wanalipwa pesa bhana

Sent from my RIDGE 4G using JamiiForums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
by waugh
nashukru kwa aliyeheshimu mada yangu.
Nia iliyonifanya niandike ww huwezi kunibadilisha,na mimi nimetamka wazi kwa wahusika tu na sijahitaji wenye matusi na kejeli.kwanini?watanzania mnapenda matusi na lawama? Haiwezekani kila kitu ni lawama.
Sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio...... kaka falcon mombasa

Michael Jackson alikuwa Freemanson&[HASHTAG]#8207[/HASHTAG];


Michael Jackson alikuwa Freemanson, Akawa tajiri sana na maarufu Duniani kote.
Mdogo wake siku mmoja akamweleza kaka yake kuwa hatima ya kuwa Freemanson ni kutupwa motoni siku ya kiyama.
Michael Jackson aliogopa sana, Akaanzisha Safari ya Uarabuni, Huko Uarabuni aliamua muslimu kwa siri ili freemanson wasijue, Uarabuni alinunua Shamba la Ekari 1500 kwa ajili ya kujenga Msikiti wa Aina yake na kujenga shule ya kuwasomesha watoto yatima na kuwapa misada Wajane.
Aliporudi Marekani freemanson walipata tetesi kuwa Michael Jackson amesilimu.
Hata hivyo hawakuwa na uhakika.
Michael Jackson aliimba wimbo unaosema freemanson iponyeni DUNIA watoto wanauliwa huko Iraq na Africanstan bila sababu, Iponyeni Dunia.
Freemanson wakaamini kuwa kweli huyu Jackson amebadili DINI NA KUWA Mwislam.
Hata hivyo Michael Jackson alisema anataka kufanya shoo moja kabambe na Dunia nzima itashangaa.
Freemanson waliposikia habari hiyo wakatengeneza Ugonjwa wakamtumia.
Michael Jackson alipelekwa Hospitali ya Aga Khan ambayo ni ya freemanson.
Alitibiwa na freemanson. Walichofanya freemanson walimchoma sindano ya sumu, na kumuambia kuwa si umetusaliti kufa utuachie Dunia yetu tuipotoshe.
Kweli Michael Jackson alikufa na kuacha mabilioni ya mapesa.
Freemanson walijua kuwa angetangaza kuwa amesilimu angesababisha watu wengi kusilimu, kwakuwa ange tangaza ubaya wa serikali ambazo zinawatesa binadamu wenzao kwa visingizio mbali mbali, Mara ooo tunatafuta magaidi kumbe nia ni kuwaua Waislam.

Michael_Jackson_Cannescropped.jpg
Kwa hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom