Mkandara unakwenda nje ya mada. Wanaosamehewa ni wavunjaji sheria.Nipe ushahidi kwamba Tume ya Mwakyembe ilitaka kumhoji Lowassa akakataa?Hizo zingine ni assumptions tu Mkuu. Pinga au kosoa lakini kwa ushahidi Mkuu Mkandara. Swali lako kuhusu miaka ya 1970 nafikiri limejibiwa. Haiwezani Mwalimu Nyerere amuulize mwanafunzi Lowassa swali unalotaka tuamini alimuuliza kuhusu utajiri wake.