wakukurupuka
Member
- Jun 4, 2015
- 16
- 2
muulize yy kwann alijiuzuru bila kosa
jambazi ulitaka ahojwe nini ...
............
peleka ushahidi mahakamani ni HAKI YAKO YA MSINGI JUU YA YALE AMBAYO UNAHISI YANA HAKI YA KUWA MASHTAKA KAMILI/
Acha blah blah Fanya uamuzi sasa!!!
Hakuna mahali popote katika ripoti ya Mwakyembe ambapo Lowassa alitajwa kuhusika na ufisadi. Lowassa aliwajibika kutokana na makosa ya watendaji wa chini yake yaani political responsibility.
umejiunga lini JF...ufisadi Wa lowasa haujaanza kwenye Richmond alianza akiwa Mkurugenzi Wa AICC..
Tupe uthibitisho au ushahidi wa ufisadi wa Lowassa alipokuwa AICC
1. kigezo gani unatumia kuweka post kwenye thread
2.Kwanini unalazimisha wanajf wawachagulie mgombea wenu huku ukikataa we we kujibu maswali sasa nakuongeza swali lingine
3. Tuambie Lowasa alisitafu uwaziri mkuu Kwa kuwa umri wake mkubwa au aliugua kiasi kwamba alishindwa kutekeleza majukumu yake kama waziri mkuu.....
4.Tuambie Mgombea yupi mwingine anautafuta urais kwa kumwaga note kama Mgonjwa Lowasa, je kwa nmna anavyogawa pesa kwanini hagawi jimboni kwake au kama hawezi kugawa kwanini asiwajengee visima vya maji kwenye jimbo lake usinijubu as if Monduli nipale TMA au pale stand, najua anautafuta urais mpka Kwa kiss na hug!..
Tangu mwaka juzi anazunguka makanisani na misikitini kugawa mamilioni mfano uzinduzi Wa kwaya anatoa million 50 mpaka 200 lakini kwenye maafa kama yaliyotokea siku za karibuni huko Kahama watu zaidi ya 30 walikufa akatoa mil 5..
.....
jenga hoja nitakuja na ya AICC na General Tyre, NMC na kampuni yake Monaban, Leopard Tour....
muulize yy kwann alijiuzuru bila kosa
Lowassa naona anatajwa mara nyingi zaidi mitandaoni iwe vizuri au iwe vibaya Ila Naona anafulsa kubwa kuliko wagombea wengini