Kweli unautaka Urais kwa kuridhisha watu? Kashfa na sio tuhuma sii za kuachiwa ukataka kugombea Uraia. Pinda kajieleza katika kila tuhuma ambazo zimetokana na mfumo mbovu wa Utawala kiasi kwamba mawaziri walioteuliwa na rais ndio walokiuka maadili. Huwezi kumwajibisha waziri mkuu katika tuhuma ambazo wahusika sii waajiriwa wake. Ila kama yeye kahusika moja kwa moja kama Lowassa hapo ingekuwa swala jingine.Lowassa angekuwa anahusika na Kashfa ile, angeweza "kukomaa" na uwaziri mkuu wake na bado pasingekuwa na mtu wa kumwajibisha, ila aliachia ngazi ili kuwaridhisheni nyie wachache mliodhani kuwa naye pia ni mhusika. Pinda "amekomaa" na mangapi na mpaka leo anadunda?
Unalazimisha uongo kuwa ukweli? Kwa malengo gani? Wapi akaunti ya Lowassa imeonekana kuingizwa senti yoyote ya richmond? Kwanini Lowassa ahukumiwe bila kuhojiwa? Leo hii unakomaa na ripoti ya mwakyembe kama vile msahafu?
Weka ushahidi ukate mzizi wa fitna!
Mkuu vuta subira kidogo tu, hili la RICHMOND liliwekwa kiporo pale sheikh Kaluta kwa sababu maalum, ila nina imani kubwa kuwa LOWASSA atateuliwa na CCM kuipeperusha bendera ya chama, hivyo katika muendelezo wa safari hii ya matumaini RICHMOND itaibuka tu, na ukweli wote utadhihirika!Kweli unautaka Urais kwa kuridhisha watu? Kashfa na sio tuhuma sii za kuachiwa ukataka kugombea Uraia. Pinda kajieleza katika kila tuhuma ambazo zimetokana na mfumo mbovu wa Utawala kiasi kwamba mawaziri walioteuliwa na rais ndio walokiuka maadili. Huwezi kumwajibisha waziri mkuu katika tuhuma ambazo wahusika sii waajiriwa wake. Ila kama yeye kahusika moja kwa moja kama Lowassa hapo ingekuwa swala jingine.
Mkuu natazama mpira mengineyo kiporo tutayajadili Kesho..
Watanzania ni watu wa ajabu sana, yaani tumejiwekea wenyewe utaratibu wa namna ya kuwajua wezi, majambazi, wala rushwa e.t.c.....hivi ni MAHAKAMA ipi ambayo imemhukumu LOWASSA kwa UFISADI?
Hivi hapa tz kuna kitu kinaitwa mahakama? Rushwa iliyojaa na dhulma za wazi wazi huzioni au macho yako yameziba?
Mimi simzungumzii EL nazungumzia hiyo mahakama unayosisitizia ambayo magabachori wanawalipa hao wajamaa na wewe ngozi kama yangu ukaishia kudhulumiwa
(sorry for being off point kwenye mjadala)
Lowasa ni fisadi papa na kibaka mzoefu.Ushaidi mwl nyerere,ripoti ya mwakyembe,Marafiki zake chenge na rostam.Pia ukwapuaji viwanja na lunch za taifa.Lowasa ni kibaka kama ingekuwa china angekuwa ametuliwa na bomu au kunyongwa adharani au kuchomwa moto
Lowasa ni fisadi.
RICHMOND (GIRE HOUSTON TEXAS)-AMBASSADOR/ Facilitator (Mr. DARAJA)-the President (commanding unit) Dr/Prof Kikwete - Implementer (Mr. Edward Lowasa). Lowasa Kashikwa na ngozi ndiye mwizi.
Kama mnafikiri hayupo wa kuthibitisha tuhuma zake basi mpitisheni awe mgombea wa Urais nasi tutathibitisha kwenye Sanduku la Kura
Agent zote kubwa duniani +intepol wanajuwa uchafu wa huyo mtu. Mwanaume kunyamaza kimya pamoja na vitimbwi mke wake anamfanyia sio kwamba amelishwa limpwata bali ni kujuwa thaman ya uwanaume wake. Mh Lowasa kuto pelekwa mahakaman sio kwamba anaogopwa na serikali bali ni utashi wa kisiasa na hekima za mwenye nchi kwa sasa. Hakuna mwanaume ataanza simulia habari za undan wa mke wake labda awe kichaa. Lowasa ata akipata watu B1. Usafi wake niwamashaka na uwenda as