Bongo senior
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 291
- 480
Habari za muda huu pia nitoe pole kwa wote wenye changamoto ya kila aina.
Naomba niwasilishe ombi la msaada kwa kila mwenye uelewa nalo, iko hivi nina ndugu yangu alipata ajari ya pikipiki huko vijijini mguu ukavunjika lakini mfupa haikuachana kabisa ulibaki upande umeshikana na upande imeachana akapelekwa hospital akapata matibabu hiyo ni tangu mwezi wa sita na mpaka sasa anatembea ila changamoto ni kwamba akitembea anahisi kama ile ngozi inakuwa kama sponji au kama anaspring wakati anatembea hali inayomfanya ahisi mguu kama umekuwa mfupi je inasababishwa na nini hii hali?
Nitangulize shukrani na samahani kwa uandishi endapo utamkwaza yeyote pale.
Naomba niwasilishe ombi la msaada kwa kila mwenye uelewa nalo, iko hivi nina ndugu yangu alipata ajari ya pikipiki huko vijijini mguu ukavunjika lakini mfupa haikuachana kabisa ulibaki upande umeshikana na upande imeachana akapelekwa hospital akapata matibabu hiyo ni tangu mwezi wa sita na mpaka sasa anatembea ila changamoto ni kwamba akitembea anahisi kama ile ngozi inakuwa kama sponji au kama anaspring wakati anatembea hali inayomfanya ahisi mguu kama umekuwa mfupi je inasababishwa na nini hii hali?
Nitangulize shukrani na samahani kwa uandishi endapo utamkwaza yeyote pale.