Mkuu, Mimi naIfikiria Xperia 5, nini maoni yako broXzs imepitwa na wakati sana, labda kama unaipata bei rahisi (chini ya laki na nusu)
Kwa sony Angalau Xz1 kupanda na hizi mpya kama Mark I, Mark II ama Mark III series
Simu nzuri kwa watu wanaopenda simu nyembamba ndogo na ndefu. Ipo xperia 5 I, II na III.Mkuu, Mimi naIfikiria Xperia 5, nini maoni yako bro
Unaonaje hii j9210.?Simu nzuri kwa watu wanaopenda simu nyembamba ndogo na ndefu. Ipo xperia 5 I, II na III.
Mark I hii mkuu, si mbaya max 1M hivi.Unaonaje hii j9210.?
Sorry Kwa usumbufu, in advance
Nini maana ya mark 1?Mark I hii mkuu, si mbaya max 1M hivi.
Yaani kila mwaka flagship ya Sony yenye umbo dogo inaitwa xperia 5.Nini maana ya mark 1?
Na hii 1m ni 1 million, bei?
One last question sir,Yaani kila mwaka flagship ya Sony yenye umbo dogo inaitwa xperia 5.
Mwaka 2019 ni xperia 5 Mark I
Mwaka 2020 ni xperia 5 mark II
Mwaka 202i ni xperia 5 mark III etc.
So hizo roman numbers zinatofautisha version baina ya mwaka na mwaka.
Na hio 1m ni millioni ndio.
Ndio maana nikakupa max budget 1m.One last question sir,
Am about to take it for $393,
As you opinion, is worth it.?
It has 128 storage capacity..
Asante Sana Kaka Kwa ushauri.Ndio maana nikakupa max budget 1m.
Kwa hio bei si mbaya,