Mwenye taarifa za DART kuita interview

Mwenye taarifa za DART kuita interview

DART hawatoita tena watu kwa zile nafasi walizozitangaza.Zile kazi zilirudishwa tena kwa aliyepewa tenda ya kuendesha mradi ambae ni UDART ambae anaajiri kwa kutumia utaratibu wake ambao alishaanza kuutumia kuajiri watu.Note that DART ni agency wa serikali katika kusimamia mradi, UDART ni kampuni binafsi chini ya robert kisena(Bosi wa UDA) iliyoshinda tenda ya kuendesha mradi wa mwendokasi ila ikiwa monitered na serikali ambao ndio DART.Baada ya DART kutangaza zile kazi UDART wakacomplain kwa nini serikali inataka kuwaajiria watumishi wa kampuni yao ikiwa kuajiri wafanyakazi ni mandate yao(remember walishaanza kuita watu katika intavyuu na kuajiri), ndipo serikali(DART) ilipoamua kurudisha mandate hiyo ya kuajiri kwa UDART(private co) kuendelea na zoezi la kuajiri. So forget kabisa hutokuja kuitwa kwenye intavyuu na DART ila peleka maombi yako ofisi za UDART kama nafasi bado zipo utaitwa.
Kweli hii nchi ina wenyewe.. Dah!!
 
mi nashangaa tushapiga interview siku nyingi japo mi nilichemka
 
Duh wamekula kichwa ... Ngoja tukazifate Mali shambani mana hakuna namna
 
Punguzeni presha awajaita bado wangeitwa wangejaza uwanja wa taifa
 
nafasi zimetolewa interview DUCE angalieni mwananchi Leo 17 may
 
Daaah wazee mi naelekea baharini kuoga eti sjoana jina langu na nili apply ile yenye post 80..majina 841 simo...dah ngoja nkaoge tu maji ya bahar halafu niende nkalime
 
yyte aliye nunua gazeti la mwananchi la leo tunaomba please atufanyie msaada maana wengine tupo mkoani uku gazeti linafika baada ya siku tatu, nipo hapa kigoma mpakani karibu na rwanda niliomba ili nikipata nirudi Dar maana, hali ya uku kigoma nacheza na warundi mda wte jamna tusaidiane.
 
This site has been blocked by the network administrator.
Block reason: Gateway GEO-IP Filter Alert
IP address: 41.222.181.189
Connection initiated from country: Tanzania, United Republic of
UHUU Ndo upuuzi uliopo kwenye website yao kwa leo, hivi uhuu mradi una milikiwa na Kisena na Wahindi nini? Yani wameniboaje aise mi nipo kibondo nategemea nisome kwenye website hakuna kitu
 
yyte aliye nunua gazeti la mwananchi la leo tunaomba please atufanyie msaada maana wengine tupo mkoani uku gazeti linafika baada ya siku tatu, nipo hapa kigoma mpakani karibu na rwanda niliomba ili nikipata nirudi Dar maana, hali ya uku kigoma nacheza na warundi mda wte jamna tusaidiane.
Kaka mimi sasa hivi naenda kununua gazeti.. Nitali snapchat na kulituma hapa... Muda si mrefu
 
This site has been blocked by the network administrator.
Block reason: Gateway GEO-IP Filter Alert
IP address: 41.222.181.189
Connection initiated from country: Tanzania, United Republic of
UHUU Ndo upuuzi uliopo kwenye website yao kwa leo, hivi uhuu mradi una milikiwa na Kisena na Wahindi nini? Yani wameniboaje aise mi nipo kibondo nategemea nisome kwenye website hakuna kitu
Website yao hawatoi kila kitu hata kazi hawakuziweka kwenye website zao pia
 
kaka utakuwa umenisaidia sana, nasubilia uduma yako mkuu, na Mungu abariki, pale ulipotoa fedha na kulinunua Gazeti. nasubri mkuu! Mungu awe na wewe chief.
 
kaka utakuwa umenisaidia sana, nasubilia uduma yako mkuu, na Mungu abariki, pale ulipotoa fedha na kulinunua Gazeti. nasubri mkuu! Mungu awe na wewe chief.
 
Back
Top Bottom