Mwenye orodha watu waliohukumiwa na Mahakama ya Mafisadi ya Awamu ya 5 aniwekee hapa. Naona kama ilikuwa kamba

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Lakini bado kamba zitaendelea tu isipokuwa kwa wale vidagaa ambavyo havina influence ya kutosha !!
Hii ilikuwepo kabla ya awamu ya Jiwe na itaendelea kuwepo kwa muda mrefu ujao !
Muarobaini utapatikana ikipatikana Katiba mpya bora !! Ambayo nayo upatikanaji wake mpaka sasa bado ni Songombingo !!
 
Bora hata mama tumesikia vigogo wakipanda kizimbani.Kwa Jiwe ukimsikia nani amehukumiwa?
 
Unajua Nashangaa Hawa Wahuni Wanapata Wapi Ujasiri Wakumsagia Kunguni Mzilankende Ili Anuke
Yule Baba Alitufaa Sana Tanzania Na Alifanya Kazi Chap Chap
Mkuu alikufaa wewe! Yule alikuwa Mbakaji, mporaji wa wake za watu, fisadi, muuaji na kichaa! Hana cha kusagiwa zaidi ya tabia yake mwenyewe!!!
 
kikwete
Nape
Ridhiwani
Rugemarilla
kinana mwizi wa meno ya tembo
Harbinger Seth
Yusufu Manji
yote haya majizi yanazima umeme yauze majenereta yalihukumiwa na mahakama ya wananchi na yalifulia Sana ngoja tena yaje tuyaadhibu 2025 yarudi utumwani
Kwahiyo waliojua dhalimu ni mshamba ndio nyie chawa wake mlisema ni mafisadi? Kwahiyo ile mahakama ya mafisadi iliyoanzishwa na dhalimu magu haikufanya kazi, Bali nyie sukuma gang ndio mkageuka mahakama?
 
Nenda pale jengo la shule ya sheria utakutana na takwimu za kutosha.

Wezi waliopiga fedha za wananchi hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua kwenye hii ripoti ya CAG.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…