Mwenye nyumba yangu hataki nipike kitimoto

Mwenye nyumba yangu hataki nipike kitimoto

Ana madude yake huyo sasa kwenye kujua anauatumiaje ni yeye mwenyewe ukitaka akucharukie wewe siku rudi haya saa 8 usiku na rosti yako oliyonona kula halafu asubuhi utashangaa kajuaje
 
Aisee ni kam mm tu hap nilipo nimeletewaaa mkataba na kaweka na kipengele na pombe kuwa haviruhusiwi kuingizwa ndani na kitimoto mam anaswali swala tano na mm nauza Nina kijiwe changu cha kitimoto alfu mby zaid wamajuwaga nachoma nyama ya ngombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye Nyumba Yangu?
Habri zenu wana JF,

Nimepanga maeneo fulani hapa Dar lakini mwenye nyumba wangu kamuuliza mke wangu kama tumewahi pika kitimoto akajibiwa hapana kumbe kashamuuliza na dada wa kazi sasa sijui kama daa alimjibu vipi japo yeye anasema dada naye alikatanisasa akasema tusipike kitimoto ndani maana yeye anajisikia vibaya na hapendi,

Swali langu ni atakuwa na matatizo gani maana nasikia kunawatu wanatumia nguruwe kutolea mapepo na madude mengineyo na je nikipika tena atajuaje?

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole, ana majini huyo, as you know Kitimoto na majini ni Maji na Mafuta havipatani kabisaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom