Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,582
- 235,437
Ilikuwa na muonekamo Kama wa nyama ya ng'ombe?
Sent using Jamii Forums mobile app
miaka imepita,nilienda Kigoma nilifika mchana;nilikuwa na hamu ya kiti nikaenda eneo Fulani wameezeka kwa makuti nadhani Barbara ya airport au km3 kutoka stend
kwa uroho nikatengeneza kilo 2,nikala na nyingine nikaamua kubeba,nikafunga vizuri tena kwa nailoni ili isitoe harufu
wenyeji wangu ni akina masudi.!
kiti cha kwanza kufika wenyeji wangu wakapokea bag na mfuko uliokuwa na kiti moto pamoja na kuwakatalia,wakakimbiza chumbani kwao.!! Nikalala na mawazo
Asubuhi wakati wa chai nashangaa yanaletwa maandazi na chai,pamoja na ile kiti moto na ndizi zikiwa zimepashwa moto.!?!!
imagine... wote walikula.!! na sikuulizwa hii ni nyama gani.?
sema baadae mazahouse aliniambia " ilibidi mboga tuipashe moto ili isiharibike '' nikajikausha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app