Mwenye nyumba anataka nihame

Mwenye nyumba anataka nihame

Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.

DINI YA SHWETANI HII.
Huu ni uongo uliokomaa, yaani maandiko ya Koran yanasema hivyo. Mbona mambo ya kijamii ikiwemo biashara maandiko hayasemi wanaotakiwa kununua bidhaa yako ni waislam pekee. Anaeamini Koran anafanya biashara na wateja wake mchanganyiko, na anae amini bible yaani mkristo anafanya biashara na wateja wake mchanganyiko. Tutafakari Kwamakini sana Imani kama hizi. Tunategemeana sana tena sana, kama unabisha toa fact Kwa kukanusha hoja hii.
 
Morning

Nipo zangu mkoa napigiwa simu kisa nina mke mzuri alikuwa anakuja kunisalimia mara kwa mara nakaa nyumba kubwa uku nyuma ya nyumba kuna msimamiz wa nyumba ni mwanamke

Sasa mara kwa mara akija wife huwa nakuwa na vitu vingi sana sasa leo nimepigiwa simu kuwa nihame wanataka kufanya marekebisho mimi nimegoma kuhama na nimemuambia wife aende nyumbani hapo

Sina kosa lolote nipo bise na mambo yangu wao ndio wananifwatilia sana nilimshauri mwenye nyumba hamtoe huyo ndugu yake hataki


Tunahusikaje sisi
 
Morning

Nipo zangu mkoa napigiwa simu kisa nina mke mzuri alikuwa anakuja kunisalimia mara kwa mara nakaa nyumba kubwa uku nyuma ya nyumba kuna msimamiz wa nyumba ni mwanamke

Sasa mara kwa mara akija wife huwa nakuwa na vitu vingi sana sasa leo nimepigiwa simu kuwa nihame wanataka kufanya marekebisho mimi nimegoma kuhama na nimemuambia wife aende nyumbani hapo

Sina kosa lolote nipo bise na mambo yangu wao ndio wananifwatilia sana nilimshauri mwenye nyumba hamtoe huyo ndugu yake hataki
Lipa Kodi,lipa Kodi alafu acha Kumwambia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom