Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
- Thread starter
- #21
Maskini! He was a good musician. Asije aka-backslide into drugs!
Sidhani kama anaweza kurudi huko nilimsikia katika mahojiano fulani baada ya kuwa amepata hali nzuri alisema hatamani tena maisha ya kutumia madawa.
Banza bado bonge la musician hapa bongo sema havumi tu kama enzi zile za Achimenengule!...