vita ni vita1
Member
- Mar 19, 2013
- 73
- 17
wadau kwa uzoefu wangu mdogo naona mara nyingi wanaume ndo huwa tunamaauzi ya kuvaa condom au kutovaa, baada ya deep romance wadada wengi sio wote fahamu huwa zinawatoka.....mkimaliza ku do utasikia dear kumbe hukuvaa?....karibu tu share mawazo kukabiliana na stds na aids
Kuna wajinga watakuja kudai picha hapa!
We subiri tu!
Weka picha.
wote wana maamuzi
Weka picha.
Nachokupendeaga wewe hua unasemaga ukweli tu, ila huyu jamaa sijui nani huyu paroko wako ananiudhi kweli, nahisi kama huna bahati hivi kua na paroko wa hivyo!Wanaume ndio wana power mara nyingi.........so mwanamke inabidi
ujue what you really want otherwise ............
Nachokupendeaga wewe hua unasemaga ukweli tu, ila huyu jamaa sijui nani huyu paroko wako ananiudhi kweli, nahisi kama huna bahati hivi kua na paroko wa hivyo!
Itabidi unilipe kabisa cause nimekuongezea siku za kuishi!hahahaa umenichekesha na mambo ya Baba Paroko........
nimecheka sana:smile-big::smile-big::smile-big:
wadau kwa uzoefu wangu mdogo naona mara nyingi wanaume ndo huwa tunamaauzi ya kuvaa condom au kutovaa, baada ya deep romance wadada wengi sio wote fahamu huwa zinawatoka.....mkimaliza ku do utasikia dear kumbe hukuvaa?....karibu tu share mawazo kukabiliana na stds na aids
wadau kwa uzoefu wangu mdogo naona mara nyingi wanaume ndo huwa tunamaauzi ya kuvaa condom au kutovaa, baada ya deep romance wadada wengi sio wote fahamu huwa zinawatoka.....mkimaliza ku do utasikia dear kumbe hukuvaa?....karibu tu share mawazo kukabiliana na stds na aids