mimi sijawahi kutumia condom sababu nashindwa jinsi ya kuagizia dukani naona shy ile mbaya!!!!
:crazy:
Umeisha ugua gono mara ngapi?
Ule michemsho ya kuku nilipe upige castle lite nilipe .....bado unachukua vikopo vya kunywa gesti wakati wa half time afu uniambie nivae condom!!! Tufyakwaaa
Umeisha ugua gono mara ngapi?
wadau kwa uzoefu wangu mdogo naona mara nyingi wanaume ndo huwa tunamaauzi ya kuvaa condom au kutovaa, baada ya deep romance wadada wengi sio wote fahamu huwa zinawatoka.....mkimaliza ku do utasikia dear kumbe hukuvaa?....karibu tu share mawazo kukabiliana na stds na aids
Umeisha ugua gono mara ngapi?
wadau kwa uzoefu wangu mdogo naona mara nyingi wanaume ndo huwa tunamaauzi ya kuvaa condom au kutovaa, baada ya deep romance wadada wengi sio wote fahamu huwa zinawatoka.....mkimaliza ku do utasikia dear kumbe hukuvaa?....karibu tu share mawazo kukabiliana na stds na aids
mimi sijawahi kutumia condom sababu nashindwa jinsi ya kuagizia dukani naona shy ile mbaya!!!!
:crazy:
wadau kwa uzoefu wangu mdogo naona mara nyingi wanaume ndo huwa tunamaauzi ya kuvaa condom au kutovaa, baada ya deep romance wadada wengi sio wote fahamu huwa zinawatoka.....mkimaliza ku do utasikia dear kumbe hukuvaa?....karibu tu share mawazo kukabiliana na stds na aids
wadau kwa uzoefu wangu mdogo naona mara nyingi wanaume ndo huwa tunamaauzi ya kuvaa condom au kutovaa, baada ya deep romance wadada wengi sio wote fahamu huwa zinawatoka.....mkimaliza ku do utasikia dear kumbe hukuvaa?....karibu tu share mawazo kukabiliana na stds na aids