pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 225
- 447
Ushahidi wa rushwa kubwa anao yule aliyempangia kazi nyingineUshahidi Wa Rushwa kubwa Unao? weka mfano hapa Tujuzane
Ushahidi wa rushwa kubwa anao yule aliyempangia kazi nyingineUshahidi Wa Rushwa kubwa Unao? weka mfano hapa Tujuzane
Mashoga mnashida Sana!Aisee kiswahili ulifeli nn
Ukatili wake Awadhi ni UPI?Askari wote ni makatili
Kwa mujibu wa maelezo ya wachangiaji kosa lake ni kusimamia sheria zilizopo.Kweli dunia haina hakiKwahiyo kosa lake ni kusimamia sheria ipasavyo? au kosa lake ni lipi hapo?
Kwa mujibu wa maelezo ya wachangiaji kosa lake ni kusimamia sheria zilizopo.Kweli dunia haina haki
OoooohhhhAlikuwa anapiga watu mangumi na mateke kuna siku alimpiga baba mmoja ambaye baadae alijitambulisha kama jei wii kilichokiri Mungu anajua askari mwenye maadili alikuwa anaitwa Kimti tu huyu alivuma sana miaka ya tisini mwishoni
Nikupatie namba zake za simu kama unamhitaji?Ooooohhhh
akiwa kamishina Wa kañda maalum nitazihitaji, sahivi kaa nazo kwanzaNikupatie namba zake za simu kama unamhitaji?
Anaweza mkuu, by the way hatujui analipwa kiasi gani, labda wanalipwa 'mamilioni ' Kama wakurugenzi wa tpdc, ewura, SumatraKwani kwa cheo chake hawezi jenga ghorofa kwa mshahara halali?
Mwiliwe,ulimo.Mashoga mnashida Sana!
Tabia zenu wote zina fanana tukisha wajuwa hamtusumbuwi!
Mama fafanuwa!Mwiliwe,ulimo.
Awe Mara ngapi,alishakuwaakiwa kamishina Wa kañda maalum nitazihitaji, sahivi kaa nazo kwanza
alikuwa mla rushwa tu,, alishakamata gar yetu daladala mwaka 2017.aliing'oa na number plat ilhali gari ilikuwa mpya bado, huku na huku alimtoa anko efu hamsini gari ndio ikaachiwa, uyo Awadhi alikuwa muonevu hadi Kwa askari wenzie ,ilikuwa Kwa siku anawaweka lockup askari trafiki hadi sita pale lockup osterbay,Mliowahi kuwa karibu au kuhudumiwa kikazi na afande Awadhi, sifa zake zikoje?
weledi wake ukoje? ni matukio gani mazuri au baya aliyafanya katika uongozi wake?
Karibuni tujuzane zaidi kuhusu Awadhi!
Ni yule alikuwa RTO kinondoni
bilashaka ww ndio Awadh mwenyewe kakaKwahiyo kosa lake ni kusimamia sheria ipasavyo? au kosa lake ni lipi hapo?
kwahiyo busara nikuachia magari ya wenye vyeo yavunje sheria? kosa la kipuuzi kwa polisi hao ni lipi? kuja wamelewa kazini ilikuwa ni kosa la kipuuzi? maana nasikia wale polisi walitiwa ndani kwasababu walienda kulewa badala ya kukaa barabaranialikuwa mla rushwa tu,, alishakamata gar yetu daladala mwaka 2017.aliing'oa na number plat ilhali gari ilikuwa mpya bado, huku na huku alimtoa anko efu hamsini gari ndio ikaachiwa, uyo Awadhi alikuwa muonevu hadi Kwa askari wenzie ,ilikuwa Kwa siku anawaweka lockup askari trafiki hadi sita pale lockup osterbay,
Mwaka 2016 mwezi march aliwaweka lockup askari wawili ambao walikuwa mahakamani pale kinondoni Kwa kosa la kipuuzi,walikaa ndani almost Week mbili, Awadhi alikuwa kibri, alishakamata gari ya Mke wa Waziri Maige mwaka juzi akayarusha hadi mtandaoni mabishano yake yeye na Mke wa Waziri ili tu kimvunjia heshima balozi mzee Maiga,,
hakuwa na busara, japo ana mazuri yake,
Wee #Mina nishakuwa Awadhi Mara hii; Unastahili adhabu ya kurushwa kichura chura wewe hadi ubadili kauli!; njoo pm tafadhalibilashaka ww ndio Awadh mwenyewe kaka