- Thread starter
- #141
Kwani hizo daladala za Nanga boy ni za nani , kwanini zisiguswe?mwenyewe nani mkuu?
yaani huu uzi unachekesha mpaka basi,awadh. kuna watu wakisikia tu hili jina wanazima simu kabisa.
nakumbuka kuna uzi humu 2015 ulikuwa unatoa update awadh yuko kipande gani ili watu wapandishe soksi.