Mwenye kujua Airpods nzuri kwa bei poa

kikoozi

JF-Expert Member
Jun 24, 2015
2,030
2,930
Habarini ndugu zangu, nimenunua simu aina ya iphone, baada ya kukaa kwenye android kwa miaka yote ambayo nimetumia simu nikaona ngoja niingie kwenye ulimwengu wa iphone ili nionje hali ya hewa na uko pia.

Sasa nataka kujua ni wirelee earphone gani ambazo ni bei rahisi na zenye kutoa mziki mzuri na zinazokaa na chaji ili ninunue maana nikisema niingie mtandaoni naona zipo airpods nyingi mnooo mpaka zinanichanganya, kutokana na experince yenu wana JamiiForum ndio imenisukuma kuja kuuliza, natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa, nawasilisha.
 
Habarini ndugu zangu, nimenunua simu aina ya iphone, baada ya kukaa kwenye android kwa miaka yote ambayo nimetumia simu nikaona ngoja niingie kwenye ulimwengu wa iphone ili nionje hali ya hewa na uko pia.

Sasa nataka kujua ni wirelee earphone gani ambazo ni bei rahisi na zenye kutoa mziki mzuri na zinazokaa na chaji ili ninunue maana nikisema niingie mtandaoni naona zipo airpods nyingi mnooo mpaka zinanichanganya, kutokana na experince yenu wana JamiiForum ndio imenisukuma kuja kuuliza, natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa, nawasilisha.
Upo wapi? Na umeandaa kiasi gani kwa ajili ya airpods nzuri?? Nicheki chap
 
Back
Top Bottom