kuku wa kienyeji
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 494
- 151
Habarini Great thinkers?
Nimepigiwa leo saa tisa za usiku na hio number nikiwa, sikuipokea. Leo asubuhi tena imepiga nilikuwa niko wash room, sikupokea.
Nimepiga tigo hawaitambui. Mwenye idea yeyote na iyo number? Isikute ninaitwa kwenye interview na kampuni za nje. Nishatuma maombi yangu mengi sana Ulaya
Nimepigiwa leo saa tisa za usiku na hio number nikiwa, sikuipokea. Leo asubuhi tena imepiga nilikuwa niko wash room, sikupokea.
Nimepiga tigo hawaitambui. Mwenye idea yeyote na iyo number? Isikute ninaitwa kwenye interview na kampuni za nje. Nishatuma maombi yangu mengi sana Ulaya