kuku wa kienyeji
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 494
- 151
- Thread starter
- #61
Ni matamgazo ya Tigo kuhusu Ofa zao na vifurushi
Ni matamgazo ? Sijakuelewa.
Be serious
Ni matamgazo ya Tigo kuhusu Ofa zao na vifurushi
Ni matamgazo ? Sijakuelewa.
Be serious
Wajenzi huru!!!!!Hiyo namba imekuwa ikinisumbua sana mpaka nikaiblock. Isijekuwa yale yaliyosemwa humu kuhusu wajenzi huru.
Watu tumekuwa wabovu sana,yaani tunaogopa hata namba!hii ni sheedah.