Mwenye kuitambua namba 555

Mwenye kuitambua namba 555

wewe ujue usisikilize vimbunga jiulize alafu jadili kwenye nafsi yako den ukipata jibu utajua kupokea au usipokee
 
hhahahahahahahahaha aiseeeee JF nyyie ni noma kwa ushauri shikamoooooni
 
Kuna ndugu yangu kapigiwa saa kumi na moja asubuhi kwa namba hiyo. Hakupokea.
 

Attachments

  • IMG-20150314-WA0008.jpg
    IMG-20150314-WA0008.jpg
    95.2 KB · Views: 209
Habarini Great thinkers?

Nimepigiwa leo saa tisa za usiku na hio number nikiwa, sikuipokea. Leo asubuhi tena imepiga nilikuwa niko wash room, sikupokea.

Nimepiga tigo hawaitambui. Mwenye idea yeyote na iyo number? Isikute ninaitwa kwenye interview na kampuni za nje. Nishatuma maombi yangu mengi sana Ulaya

Ni flash namba hiyo kaka, wakati mwingine huwa inatokea kupokea sms kutoka kwa mtu unayemjua lakin ukimuuliza anasema yeye hajakutumia sms yoyote! Ni mambo ya kimtandao hayo, na huwa inatokea sana hiyo! Usijali, kama ipo ipo tu kama kwenye usaili utaitwa sana na kazi utazipata sana! Be blessed!
 
Habarini Great thinkers?

Nimepigiwa leo saa tisa za usiku na hio number nikiwa, sikuipokea. Leo asubuhi tena imepiga nilikuwa niko wash room, sikupokea.

Nimepiga tigo hawaitambui. Mwenye idea yeyote na iyo number? Isikute ninaitwa kwenye interview na kampuni za nje. Nishatuma maombi yangu mengi sana Ulaya
Je, hujawahi kujaribu issues za online money making stuffs especially zile za binary option? Kama umeshawahi kujaribu, basi watakuwa ni hao jamaa coz' unlike other online money making stuffs, watu wa binary option wanategemea sana uwingi wa members, so unapofanya registration halafu wakaona upo kimya, lazima watakutafuta tu!
 
Ni flash namba hiyo kaka, wakati mwingine huwa inatokea kupokea sms kutoka kwa mtu unayemjua lakin ukimuuliza anasema yeye hajakutumia sms yoyote! Ni mambo ya kimtandao hayo, na huwa inatokea sana hiyo! Usijali, kama ipo ipo tu kama kwenye usaili utaitwa sana na kazi utazipata sana! Be blessed!

thanks for your comment, huyo jamaa yuko serious watu wanaleta utani. hata Mimi hiyo number ilimipigia, but I was away with my 4n.
 
Back
Top Bottom